Copa America ya mwaka huu imekaaje

olele

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2010
Posts
1,305
Reaction score
1,572
Salam zenu wakuu,

Naomba kujua kuhusu hii michuano ya Copa America ambayo inatazamiwa kuanza kutimua vumbi muda si mrefu.

Katika kumbukumbu zangu nakumbuka hii michuano ilifanyika mwana 2015 (mwaka jana) nchini Chile na wenyeji CHILE walibeba kombe hilo kwa kuwafunga ARGENTINA,

Na pia nakumbuka huwa linafanyika kila baada ya Miaka 4

Sasa hili linalofanyia sasa ni lipi??

nawasilisha
Hakuna haja ya kutoa mapovu
 
Inatimiza miaka 100 tangu kuanzishwa ni special tournament ambayo watajumuisha na timu za north america na pia itafanyika nje ya america kusini yaani marekani
 
Copa América

Founded1916; 100

Region
South America


-URUGUAY kishachukuwa ubingwa mara 15 ndiye anaongoza

Akifuatia ARGENTINA wapili amechukuwa mara 14


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…