DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Boca waplmepigwa 3-2 nyumbani ni wapuuzi sana..... Wanacheza kama arsenal pasi milioni wenzao wakipata pasi NNE tano wapo golini...... Kuna jamaa Christian Puvon Wa boca ni mbaya .....bonge LA winger
Naamin wanangu boca jrs kombe linawahusu..
Ila hawa atletico nacional hatar
😀😀 huyo jamaa anavitukomimi natabiri tena carlos tevez a.k.a simba wa nyika atapiga goli eti nimeondoka england kwa sababu unaweza kuamka asubuhi mpaka jioni usione jua jamaa anavituko
alikuwepo.....fainali independiente de valle vs atletico nationalMkuu Mnyama alikuwepo? Tvz
vp waungwana fainali lini?
vp waungwana fainali lini?
Hill kombe gaucho kalibeba
Kwa hali hii wapewe tu hiko kombe, boca wadogo wameniyeyusha mnoooNa ndio wanabeba, maana Boca washatolewa
cosovo asante kiongoziFainali itakuwa ni siku ya Alhamisi ya Alfajiri saa TISA NA DAKIKA 45!
9:45
cosovo asante kiongozi
cosovo asante kiongozi
Kwa hali hii wapewe tu hiko kombe, boca wadogo wameniyeyusha mnooo
Dah! Ndio soka mkuuNikweli mkuu hata mimi pia imeniuma sana,lkn no way