Copy&PEST

kapesly

Senior Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
163
Reaction score
108
Jiulize haya yanatutokea kila siku.....



LAW OF QUEUE:

Ukibadilisha mstari unapopanga foleni ule uliouacha unakwenda mbio zaidi.



LAW OF TELEPHONE:

Namba unayopiga kwa makosa daima haipo bize (busy)



LAW OF MECHANICAL REPAIR:

Mikono yako inapokuwa michafu pua inaanza kuwasha ili uikune



LAW OF THE ALIBI:

Ukimdanganya bosi kuwa umechelewa kwa sababu gari lako limepata pancha kesho yake utapata pancha kweli



BATH THEOREM:

Ukishajitia maji tu simu itaanza kuita



LAW OF ENCOUNTERS:

Uwezekano wa kuonekana na watu unaongezeka unapokuwa na mtu unayetaka usionekane ukiwa nae



LAW OF THE RESULT:

Unapojaribu kumueleza mtu kwamba mashine yako imeharibika ukiwasha itafanya kazi



LAW OF BIOMECHANICS:

Sehemu inayowasha mwilini huwasha zaidi pale ambapo huwezi kujikuna



THEATRE RULE:

Watu wanaokalia viti vizuri ndio wanaochelewa kufika



LAW OF COFFEE:

Ukikaa tu ofisini na kuanza kunywa kahawa yako bosi atakuita na kukuchelewesha mpaka kahawa yako ipoe.



Inatoka @2008
 
LAW OF ..........

unapotaka kusema uongo lazima usiwe na uhakika na unachoongea
 
LAW OF
Siku ukivaa nguo chafu au mbaya ndio unakutana marafiki wako wengi uliosoma nao au uliopotezananao siku nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…