Financial Market 255
Member
- Jul 19, 2021
- 15
- 52
Mwezi wa 5, 2023...
Nilikuwa napitia mahojiano moja ya mjasiriamali bilionea kutoka Lagos, Nigeria, aitwaye:
"Tony Elumelu"
Alikuwa akieleza jinsi anavyotengeneza faida kubwa bila kutumia pesa yake binafsi, badala yake anatumia pesa za Watu wengine!
Na...
Kilichonivutia zaidi ni pale aliposema:
"Matajiri hawatumii pesa zao kutengeneza utajiri, wanatumia pesa za watu wengine (OPM)!"
Nilishtuka!
Nilihisi kama anazungumza na mimi moja kwa moja.
Nilijiuliza, "Inawezekanaje mtu apate mabilioni kwa kutumia pesa za benki bila kuwa na mali nyingi za thamani kama dhamana?"
Lakini baada ya kusikiliza kwa umakini, nikagundua njia wanayoitumia matajiri ambayo watu wa kawaida hawaijui kabisa!
Siri Ipo Kwenye HATIFUNGANI!
Tony Elumelu alifafanua kwamba, matajiri wanatumia hatifungani (Bonds) kama dhamana ya kukopa pesa kutoka benki kwa riba ndogo... kisha wanaitumia hiyo pesa kufanya uwekezaji mkubwa wenye faida kubwa zaidi!
Hii ndiyo sababu matajiri wanaendelea kuwa matajiri—wanajua wapi pesa za bure zinapatikana!
Kwa mfano:
✅ Unanunua hatifungani za serikali za Tshs 50M ambazo zinakupa riba ya 12% kwa mwaka (Tshs 6M kila mwaka).
✅ Unaenda benki na kuweka hizo hatifungani kama dhamana (collateral) ili ukopeshwe Tshs 40M kwa riba ya 7% kwa mwaka (Tshs 2.8M kwa mwaka).
✅ Kumbuka, wewe bado unapata riba ya Tshs 6M kwa mwaka kutoka kwenye hatifungani zako huku ukilipa Tshs 2.8M kama riba ya mkopo!
✅ Hii ina maana unakaa na faida ya bure ya Tshs 3.2M kila mwaka, bila kutumia pesa yako!
Na hicho ndicho benki na matajiri wakubwa wanakifanya kila siku bila watu wa kawaida kujua!
Sasa Jiulize...
Benki zinatumia pesa zako kununua hatifungani na zinapata faida kubwa...
Kwa nini usiwe kama benki?
Badala ya kuweka pesa benki, kwa nini usinunue hatifungani na uzitumie kama dhamana kupata pesa zaidi kwa riba ndogo?
Na Hii ndiyo mbinu wanayotumia matajiri kama Warren Buffett, Aliko Dangote, na Rostam Aziz!
Siri yote iko kwenye:
✅ Kujua ni hatifungani gani zina faida kubwa zaidi
✅ Kujua ni benki zipi zinakubali hatifungani kama dhamana
✅ Kujua ni biashara zipi unaweza kuwekeza hizo pesa na kutengeneza faida kubwa zaidi ya riba ya benki
Na haya yote Ndio utaenda Kujifunza hatua kwa hatua Kupitia TZA FINANCIAL MARKET PACKAGE
Ili Kujiunga Gusa Link hapo chini 👇
TZA FINANCIAL MARKET PACKAGE
See you inside!
Hasta la Vista!
Habakuki Hussen
.
Contact +255676147714
Nilikuwa napitia mahojiano moja ya mjasiriamali bilionea kutoka Lagos, Nigeria, aitwaye:
"Tony Elumelu"
Alikuwa akieleza jinsi anavyotengeneza faida kubwa bila kutumia pesa yake binafsi, badala yake anatumia pesa za Watu wengine!
Na...
Kilichonivutia zaidi ni pale aliposema:
"Matajiri hawatumii pesa zao kutengeneza utajiri, wanatumia pesa za watu wengine (OPM)!"
Nilishtuka!
Nilihisi kama anazungumza na mimi moja kwa moja.
Nilijiuliza, "Inawezekanaje mtu apate mabilioni kwa kutumia pesa za benki bila kuwa na mali nyingi za thamani kama dhamana?"
Lakini baada ya kusikiliza kwa umakini, nikagundua njia wanayoitumia matajiri ambayo watu wa kawaida hawaijui kabisa!
Siri Ipo Kwenye HATIFUNGANI!
Tony Elumelu alifafanua kwamba, matajiri wanatumia hatifungani (Bonds) kama dhamana ya kukopa pesa kutoka benki kwa riba ndogo... kisha wanaitumia hiyo pesa kufanya uwekezaji mkubwa wenye faida kubwa zaidi!
Hii ndiyo sababu matajiri wanaendelea kuwa matajiri—wanajua wapi pesa za bure zinapatikana!
Kwa mfano:
✅ Unanunua hatifungani za serikali za Tshs 50M ambazo zinakupa riba ya 12% kwa mwaka (Tshs 6M kila mwaka).
✅ Unaenda benki na kuweka hizo hatifungani kama dhamana (collateral) ili ukopeshwe Tshs 40M kwa riba ya 7% kwa mwaka (Tshs 2.8M kwa mwaka).
✅ Kumbuka, wewe bado unapata riba ya Tshs 6M kwa mwaka kutoka kwenye hatifungani zako huku ukilipa Tshs 2.8M kama riba ya mkopo!
✅ Hii ina maana unakaa na faida ya bure ya Tshs 3.2M kila mwaka, bila kutumia pesa yako!
Na hicho ndicho benki na matajiri wakubwa wanakifanya kila siku bila watu wa kawaida kujua!
Sasa Jiulize...
Benki zinatumia pesa zako kununua hatifungani na zinapata faida kubwa...
Kwa nini usiwe kama benki?
Badala ya kuweka pesa benki, kwa nini usinunue hatifungani na uzitumie kama dhamana kupata pesa zaidi kwa riba ndogo?
Na Hii ndiyo mbinu wanayotumia matajiri kama Warren Buffett, Aliko Dangote, na Rostam Aziz!
Siri yote iko kwenye:
✅ Kujua ni hatifungani gani zina faida kubwa zaidi
✅ Kujua ni benki zipi zinakubali hatifungani kama dhamana
✅ Kujua ni biashara zipi unaweza kuwekeza hizo pesa na kutengeneza faida kubwa zaidi ya riba ya benki
Na haya yote Ndio utaenda Kujifunza hatua kwa hatua Kupitia TZA FINANCIAL MARKET PACKAGE
Ili Kujiunga Gusa Link hapo chini 👇
TZA FINANCIAL MARKET PACKAGE
See you inside!
Hasta la Vista!
Habakuki Hussen
.
Contact +255676147714