Oohoo!!! Basi aje kwenye namba CKununua namba B ni mtihani
Mkuu tafuta fundi akague body chini,injini na gearbox. Kama ipo vizuri chukua hizo gari ngumu Sana hata ukizipeleka rough road hakuna habari za kuharibika bampa.
😵😵😵😵😵nikwe?Oohoo!!! Basi aje kwenye namba CView attachment 1709121
Umeniamulia mkuu ila mi kiupande wangu siwezi kununua gari mamba B au C naona kama moyo haujatulia nimevuta chomboOohoo!!! Basi aje kwenye namba CView attachment 1709121
Sasa Boss wangu hii Corolla ndiyo inafanana na Harrier kweli!! Au macho yangu yameanza kupoteza nuru? Anyway, buy it bro.
Sasa Boss wangu hii Corolla ndiyo inafanana na Harrier kweli!! Au macho yangu yameanza kupoteza nuru? Anyway, buy it bro.
Kuna raha yake ukitembea huku ukiwa umekaa.
Corolla tako la nyani [emoji23][emoji23]Ukitoa hizo rim
Ukaweka zenye spoke nyingi kidogo itapendeza
Anyway kama walivosema wadau
Engine ni murua
Sema nimependa umeifananisha na harrier[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]Corolla tako la nyani [emoji23][emoji23]