Mengi yameelezwa kuhusu chanjo za Corona.
Kwa mujibu wa balozi wa Marekani, katika vifo vyote vitokanavyo na Corona sasa hivi huko kwao, 99% ni watu ambao hawakuwa wamechanjwa.
Angalizo:
1. Ni muhimu ikafahamika kuwa chanjo hizi si dawa ya kutibu au kuzuia mtu kutopata ugonjwa.
2. Chanjo hizi huuandaa mwili kupambana ikiwa ugonjwa utakuja.
3. Madhara ya ugonjwa ukimpata aliyechanjwa yanakuwa ni madogo zaidi.
Habari ndiyo hiyo.
Kwa mujibu wa balozi wa Marekani, katika vifo vyote vitokanavyo na Corona sasa hivi huko kwao, 99% ni watu ambao hawakuwa wamechanjwa.
Angalizo:
1. Ni muhimu ikafahamika kuwa chanjo hizi si dawa ya kutibu au kuzuia mtu kutopata ugonjwa.
2. Chanjo hizi huuandaa mwili kupambana ikiwa ugonjwa utakuja.
3. Madhara ya ugonjwa ukimpata aliyechanjwa yanakuwa ni madogo zaidi.
Habari ndiyo hiyo.