Wamechanjwa Sasa, je korona imeondoka?
Kuna variant mpya kutoka Peru na amesha spread nchi 30, huyo hadhuriki na hako ka chanjo, hata Kama umechanjwa chanjo zote anakuparura tu.
Hapo ndipo utakuwa bila shaka unauona umuhimu wa kuwapata watu wengi kadri iwezekanavyo kuchanjwa ili ugonjwa kuweza kutokomezwa.
Pana threshold ya watu duniani na katika kila nchi ambao wakishachanjwa ugonjwa utadhibitika na hatimaye kuto kutoweka kabisa.
Hii ni kama ilivyotokea kwa ndui au tunakoelekea kwenye polio.
Ndiyo maana mataifa lazima yasaidiwe kuchanja watu wao. Kwa kubembelezwa au hata kwa lazima ikibidi.
Ujinga na upumbavu wa watu wowote hauwezi kuachwa kuiweka dunia hatarini.
Au wewe huoni hivyo?
UKikosa hoja, unanyamaza. Huwezi kulazimisha watu kwa kitu ambacho hakina maslahi kwa yeyote. Kama ingelikuw ahivyo basi dunia ingelikuwa ni animal firm.
Shirkisha solutions, siyo ubabe.
Dawa nyingine ya kutibu corona hii hapa.
Shauri serikali iwasiliane na ubalzo wa Israel iagize hizi dawa kama hatunazo hapa.
Malumbano ya kulinda misimamo bila facts hayajengi.