Serikali imekuwa ikijinasibu kuwa hatuna mgonjwa hata mmoja wa variant mpya:
Lakini kote kushoto na kulia "ban" zinatuhusu:
Russia completely bans travel from Botswana, Zimbabwe, Hong Kong, Lesotho, Madagascar, Mozambique, Namibia, Tanzania, Eswatini and South Africa
Ramaphosa tayari anapumulia mashine. Enyi wandugu au ni mpaka yawakute?
Kwanini nasi tusimle mtu "ban?"
Angalau huyu SA kwa kuanzia isingekuwa mbaya kama sisi tungali salama?
---------
Angalizo: Sakata linaloendelea lenye kuhusisha uhuni na mambo ya msingi linafikirisha.
Lakini kote kushoto na kulia "ban" zinatuhusu:
Russia completely bans travel from Botswana, Zimbabwe, Hong Kong, Lesotho, Madagascar, Mozambique, Namibia, Tanzania, Eswatini and South Africa
Ramaphosa tayari anapumulia mashine. Enyi wandugu au ni mpaka yawakute?
Kwanini nasi tusimle mtu "ban?"
Angalau huyu SA kwa kuanzia isingekuwa mbaya kama sisi tungali salama?
---------
Angalizo: Sakata linaloendelea lenye kuhusisha uhuni na mambo ya msingi linafikirisha.