MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Tangu hili janga liikumbe dunia, Watanzania wamekua wakiichukulia poa, wamekua wanaita "kaugonjwa", tukajaribu sana kuwahubiria humu kwamba kuna mataifa watu wanakufa kwa maelfu, sisi huku tunachukua tahadhari na kujichimbia, wakawa wanabeza kila juhudi zetu.
Hata kupima wamekua wanapima watu wachache sana na kutubeza humu JF kwamba wao maambukizi ni machache kisa wamepima wachache, sisi tunapima mamia ya watu kwa siku, namba zetu zikipandisha wanachekelea.
Jana waziri wao wa afya kwa mara ya kwanza nimeona anatoa hotuba liiyosheheni maneno kama yanayotumika na viongozi wa mataifa mengine duniani, ametoa elimu kwa Watanzania na kutahadharisha kuhusu uwezekano wa wao kuambukizana ndani kwa ndani na jinsi kirusi kinaweza kuwa kinasambaa kwa kasi humo humo.
Sasa hivi hapa Kenya tunaibukiwa na watu wanatokea Tanzania na hiki kirusi, yaani mpaka wanafika huku hujui huko wameambukizana kivipi. Juzi wanaachia Mtanzania anatokea Dubai na kutinga Dar siku kadhaa kisha anasafiri hadi Mwanza, ndio baadaye wanamfuata na kumkuta na kirusi, muda wote anakiachia kwa ndugu, marafiki, majirani na wasafiri wenzake.
-------------------------------------
Tanzania could soon be dealing with local transmission of
Hata kupima wamekua wanapima watu wachache sana na kutubeza humu JF kwamba wao maambukizi ni machache kisa wamepima wachache, sisi tunapima mamia ya watu kwa siku, namba zetu zikipandisha wanachekelea.
Jana waziri wao wa afya kwa mara ya kwanza nimeona anatoa hotuba liiyosheheni maneno kama yanayotumika na viongozi wa mataifa mengine duniani, ametoa elimu kwa Watanzania na kutahadharisha kuhusu uwezekano wa wao kuambukizana ndani kwa ndani na jinsi kirusi kinaweza kuwa kinasambaa kwa kasi humo humo.
Sasa hivi hapa Kenya tunaibukiwa na watu wanatokea Tanzania na hiki kirusi, yaani mpaka wanafika huku hujui huko wameambukizana kivipi. Juzi wanaachia Mtanzania anatokea Dubai na kutinga Dar siku kadhaa kisha anasafiri hadi Mwanza, ndio baadaye wanamfuata na kumkuta na kirusi, muda wote anakiachia kwa ndugu, marafiki, majirani na wasafiri wenzake.
-------------------------------------
Tanzania could soon be dealing with local transmission of