Corona inaweza kuathiri mfumo mzima wa afya ya mtu

Corona inaweza kuathiri mfumo mzima wa afya ya mtu

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210311_084224_0000.png


Virusi vya Corona katika hatua ya mwanzo husababisha homa ya mapafu na kushindwa kupumua vizuri ambayo inaweza kusababisha madhara ya kudumu kwenye mapafu.

Lakini Covid-19 sio tu ugonjwa wa mapafu, inaweza kusababisha shida nyingine zenye kubadilisha mfumo mzima wa afya ya mtu.

Huongeza hatari ya kuganda kwa damu, kutokana na kuganda kwa damu hupelekea kukwama kwa mzunguko wa damu kwenye maeneo yaliyoathiriwa

Aidha husababisha hatari kubwa zaidi ikiwa damu itaganda kwenye maeneo muhimu ya mzunguko wake kama vile ubongo na mapafu

Hupelekea shambulizi la moyo na kiharusi

Huathiri misuli ya moyo na kupelekea mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida.
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom