ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Serikali makini mna habari kwamba huku mitaani kundi la watu wanaovuta sigara wanapezana sigara kwa kuwa uchumi sio mzuri?
Mtu Winston moja wanavuta watatu sasa wameshazoea wakaona Corona hamna maana wanadai hawajaona ishara za hao washikaji zao kufa kwa wingi.
Ndugu zangu Serikali kuweni makini zaidi na njia za kuzuia maambukizo kwa mfano clubs, bar, mikutano n.k.
Mtu Winston moja wanavuta watatu sasa wameshazoea wakaona Corona hamna maana wanadai hawajaona ishara za hao washikaji zao kufa kwa wingi.
Ndugu zangu Serikali kuweni makini zaidi na njia za kuzuia maambukizo kwa mfano clubs, bar, mikutano n.k.