ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kwenye ukoo wetu tulitoa sadaka ya kuteketeza ya dume kubwa la ng'ombe mzima kumshukuru mola wetu kwa kutuondolea ile Kima.Corona ipo Moshi na Arusha kwa sababu ya laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Ndiyo maana mnakufa sana wachaga hadi majeneza yameishaKwenye ukoo wetu tulitoa sadaka ya kuteketeza ya dume kubwa la ng'ombe mzima kumshukuru mola wetu kwa kutuondolea ile Kima.
Mpuuzi wewe !!. Ngoja yakufike na wewe tuone kama utasema ujinga huoCorona ipo Moshi na Arusha kwa sababu ya laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
We nae una Mola?Kwenye ukoo wetu tulitoa sadaka ya kuteketeza ya dume kubwa la ng'ombe mzima kumshukuru mola wetu kwa kutuondolea ile Kima.
Kwani ni kweli huko Arusha na moshi wafurahia mwenzao kufariki?Mpuuzi wewe !!. Ngoja yakufike na wewe tuone kama utasema ujinga huo
Odhis *
Si Arusha na Moshi tu.Kwani ni kweli huko Arusha na moshi wafurahia mwenzao kufariki?
Mbona sijasema kuwa ni hiyo mikoa miwili tu bali nimeuliza kama ni kweli hiyo mikoa ilifurahia mtu kufariki?Si Arusha na Moshi tu.
Ulitumia kipimo gani kuona ni hiyo mikoa miwili tu ndiyo iliyofurahi ?!
Odhis *
Ni kweli sigara zenyewe zinauwa badala ya kuzizuia ndio kwanza wanaandika ni hatari kwa afya yako.Sigara zenyewe zinaua , msitusumbue bana corona kwio🤣🤸🐒
Akili fupi na ukabila ni zao la upumbavNdiyo maana mnakufa sana wachaga hadi majeneza yameisha
Sie tunademka tuu mi mwenyw nashangaa hyo kitu inayopigwa promo hivi iko wapi?sijaona mwana hata mmoja alievuta kutokana na hiyo makitu ya covidSigara zenyewe zinaua , msitusumbue bana corona kwio[emoji1787][emoji1732][emoji205]
Corona haina mwenyewe kumbuka kipindi huu ugonjwa unaanzia kule wuhan china mataifa mengi yalifurahi kuendelea kula bata bila kujali umeshasahau italiaNdiyo maana mnakufa sana wachaga hadi majeneza yameisha