Corona: Naibu Rais Kenya afurahia pesa za Corona kuibiwa, ajiweka kando

Corona: Naibu Rais Kenya afurahia pesa za Corona kuibiwa, ajiweka kando

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Naibu Rais William Ruto Alhamisi Agosti 20 alisema janga la coronavirus limegeuzwa kuwa sakata ya mabilioni ya pesa humu nchini. Ruto alisema baada ya janga hilo kufika nchini, liligeuzwa na kuwa biashara ya wachache kujipa hela kupitia ufisadi.

Ruto akisema hayo alikuwa anajibu taarifa ya gazeti moja la humu nchini ambalo lilichapisha habari na kumuangazia kama mtu aliyegeuzwa shabiki katika uendeshaji serikali.

'Wacha niendelee kama spectator,' Ruto asema coronavirus imegeuzwa sakata ya mabilioni

=======

My TAKE: Thing fall apart. Hii ndiyo nchi inayotaka kujilinganisha na Tanzania.
 
joto la jiwe,

Hon Ruto lazima atulie na akaye staili ya “HANDS AKIMBO” kwasababu wahusika wakuu wa ufisadi ya pesa za COVID19 ni kundi la the so called ‘HANDSHAKE’ kutoka ODM ndiyo maana huoni wala husikii kile kelele cha ‘serikali ya Jubilee’ imeshindwa kusimamia hela za Covid19!!! mpaka Baba yupo kimya! Handshake imefanya na kuwezesha ambao hawakuwa na usemi serikali kupata mwanya wa kula!! Husikii major opposition party ikiroroma tena baada ya kumshambulia Naibu wa Rais na kumtenga ili wapate nafasi ya kujinasafi(eat with comfort)[emoji23]🤣🤣[emoji23]!!what an embarrassment for Jubilee!
 
Hon Ruto lazima atulie na akaye staili ya “HANDS AKIMBO” kwasababu wahusika wakuu wa ufisadi ya pesa za COVID19 ni kundi la the so called ‘HANDSHAKE’ kutoka ODM ndiyo maana huoni wala husikii kile kelele cha ‘serikali ya Jubilee’ imeshindwa kusimamia hela za Covid19!!! mpaka Baba yupo kimya! Handshake imefanya na kuwezesha ambao hawakuwa na usemi serikali kupata mwanya wa kula!! Husikii major opposition party ikiroroma tena baada ya kumshambulia Naibu wa Rais na kumtenga ili wapate nafasi ya kujinasafi(eat with comfort)[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23]!!what an embarrassment for Jubilee!
In short, Kenya is a Failed state [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa wamefeli vibaya....nchi inaekekea shimoni kwa sasa
In short, Kenya is a Failed state [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Wazee wa kula ndumu
Kenya hakuna serikali bali kuna kikundi cha wahuni
BAADA YA MIAKA 50 YA CHAMA KIMOJA TUMEFIKIA HAPA NA IKUMBUKWE 1960 TULIKUWA NA UCHUMI SAWA NA KOREA YA KUSINI SASA ANGALIA HIKI CHAMA

HAKUNA UHURU WA MAONI
HAKUNA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI
HAKUNA MIJADALA YA HOJA KWENYE MEDIA
MIHIMILI YA TAIFA HUTAWALIWA NA MTU MMOJA
RAIS AMEKUWA MFALME
DENI LA TAIFA LINAONGEZEKA KWA KASI
MAZINGIRA MAGUMU YA KAZI
UKANDAMIZAJI WA DEMOCRASIA
ELIMU MBOVU
AJIRA HAKUNA
FEDHA INASHUKA THAMANI
DENI LA TAIFA LINAONGEZEKA KWA KASI
AJIRA HAKUNA
UKANDAMIZAJI WA HAKI ZA BINADAMU
KESI LUKUKI ZA KUMBAMBIKIWA
SHERIA KANDAMIZI
DOLA IMEKUWA SEHEMU YA CHAMA
UMASIKINI UMEONGEZEKA
VIWANDA LUKUKI VIMEKUFA
BUNGE SIO LIVE TENA HATUONI WAWAKILISHI WETU WAKITUSEMEA MATATIZO YETU
MEDIA KUWA SEHEMU YA WATAWALA
MAISHA MAGUMU
UONGOZI KUWA NDO AJIRA
HOJA KUJIBIWA KWA RUNGU
WAPINZANI KUKANDAMIZWA
KUFUNGIWA MIKUTANO YA KISIASA
DINI KUTUMIKA KISIASA
USHAMIRI WA PROPAGANDA
UBAGUZI WA KISIASA NA KIITIKADI
RUSHWA IMEWALEMEA PCCB
MISHARA KUTOONGEZEKA NA MADARAJA KUTOPANDISHWA
BUNGE HALINA HESHIMA NA HALISIKILIZWI
KULAZIMISHA UPENDO KWENYE VYAMA
VITU KUPANDA BEI
HAKUNA MPANGO WA KUONGEZA WIGO WA BIASHARA KWA TAIFA
KODI KUTUMIKA KWA MATAKWA BINAFSI
HAKUNA MIIKO YA UONGOZI
MIUNDOMINU MIBOVU SUBIRI MVUA ZINYEESHE
MAFAO YA WAZEE TABU TUPU
KUNA KIKUNDI KINAITWA WASIOJULIKANA
KUTOPEWA DHAMANA KWA KOSA
UCHUMI KUDORORA
MZUNGUKO MDOGO WA SARAFU
KATIBA SI KITU TENA JAPO INAMAPUNGUFU LUKUKI
WAKULIMA WANALIA
UTEKAJI NYARA
UVAMIZI WA VIONGOZI NS HAKUNA HATUA MADHUBUTI
KUAMULIWA VIONGOZI
UKWELI NI DHAMBI KUU
KUKOSOA SERIKALI NI KOSA LA JINAI
MAITI KUCHUKUA HOSPITALI HELA KIBAO
MZAZI KUJIFUNGUA KWA OPERATION HELA KIBAO
USHIRIKA MBOVU NA MATAIFA YA NJE
UHUSIANO NA MAJIRANI UNAZOROTA
KODI KUBWA
TAASISI ZA SERIKALI MKANGANYIKO MF NIDA
KUPATA PASSPORT AU LESENI SHUGHULI
DAWA CHACHE
UKIMALIZA CHUO NI KUJIAJIRI HATA BODABODA
HAKI IMEKUWA KAMA PUNJE YA MCHANGA NDANI YA GUNIA LA CHUMVI

TUNAELEKEA KUWA KOREA KASKAZINI,TANGANYIKA YA NYERERE TUNAITAKA TUMECHOKA KWA KWELI.
SASA HAPA NDO TULIPO FIKIA
 
BAADA YA MIAKA 50 YA CHAMA KIMOJA TUMEFIKIA HAPA NA IKUMBUKWE 1960 TULIKUWA NA UCHUMI SAWA NA KOREA YA KUSINI SASA ANGALIA HIKI CHAMA

HAKUNA UHURU WA MAONI
HAKUNA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI
HAKUNA MIJADALA YA HOJA KWENYE MEDIA
MIHIMILI YA TAIFA HUTAWALIWA NA MTU MMOJA
RAIS AMEKUWA MFALME
DENI LA TAIFA LINAONGEZEKA KWA KASI
MAZINGIRA MAGUMU YA KAZI
UKANDAMIZAJI WA DEMOCRASIA
ELIMU MBOVU
AJIRA HAKUNA
FEDHA INASHUKA THAMANI
DENI LA TAIFA LINAONGEZEKA KWA KASI
AJIRA HAKUNA
UKANDAMIZAJI WA HAKI ZA BINADAMU
KESI LUKUKI ZA KUMBAMBIKIWA
SHERIA KANDAMIZI
DOLA IMEKUWA SEHEMU YA CHAMA
UMASIKINI UMEONGEZEKA
VIWANDA LUKUKI VIMEKUFA
BUNGE SIO LIVE TENA HATUONI WAWAKILISHI WETU WAKITUSEMEA MATATIZO YETU
MEDIA KUWA SEHEMU YA WATAWALA
MAISHA MAGUMU
UONGOZI KUWA NDO AJIRA
HOJA KUJIBIWA KWA RUNGU
WAPINZANI KUKANDAMIZWA
KUFUNGIWA MIKUTANO YA KISIASA
DINI KUTUMIKA KISIASA
USHAMIRI WA PROPAGANDA
UBAGUZI WA KISIASA NA KIITIKADI
RUSHWA IMEWALEMEA PCCB
MISHARA KUTOONGEZEKA NA MADARAJA KUTOPANDISHWA
BUNGE HALINA HESHIMA NA HALISIKILIZWI
KULAZIMISHA UPENDO KWENYE VYAMA
VITU KUPANDA BEI
HAKUNA MPANGO WA KUONGEZA WIGO WA BIASHARA KWA TAIFA
KODI KUTUMIKA KWA MATAKWA BINAFSI
HAKUNA MIIKO YA UONGOZI
MIUNDOMINU MIBOVU SUBIRI MVUA ZINYEESHE
MAFAO YA WAZEE TABU TUPU
KUNA KIKUNDI KINAITWA WASIOJULIKANA
KUTOPEWA DHAMANA KWA KOSA
UCHUMI KUDORORA
MZUNGUKO MDOGO WA SARAFU
KATIBA SI KITU TENA JAPO INAMAPUNGUFU LUKUKI
WAKULIMA WANALIA
UTEKAJI NYARA
UVAMIZI WA VIONGOZI NS HAKUNA HATUA MADHUBUTI
KUAMULIWA VIONGOZI
UKWELI NI DHAMBI KUU
KUKOSOA SERIKALI NI KOSA LA JINAI
MAITI KUCHUKUA HOSPITALI HELA KIBAO
MZAZI KUJIFUNGUA KWA OPERATION HELA KIBAO
USHIRIKA MBOVU NA MATAIFA YA NJE
UHUSIANO NA MAJIRANI UNAZOROTA
KODI KUBWA
TAASISI ZA SERIKALI MKANGANYIKO MF NIDA
KUPATA PASSPORT AU LESENI SHUGHULI
DAWA CHACHE
UKIMALIZA CHUO NI KUJIAJIRI HATA BODABODA
HAKI IMEKUWA KAMA PUNJE YA MCHANGA NDANI YA GUNIA LA CHUMVI

TUNAELEKEA KUWA KOREA KASKAZINI,TANGANYIKA YA NYERERE TUNAITAKA TUMECHOKA KWA KWELI.
SASA HAPA NDO TULIPO FIKIA
Zooote ulizoandika hapa ni propaganda anazotegemea kuzitumia Tundu lisilonakitu kwenye kampeni ambazo hazina maana yoyote
 
Zooote ulizoandika hapa ni propaganda anazotegemea kuzitumia Tundu lisilonakitu kwenye kampeni ambazo hazina maana yoyote
Huyo Tundu Kubwa wao wala asijisumbue

Utafiti kutoka independent organization ya mabeberu imeshatoa muelekeo

Chadema hakina ushawishi kabisa, ni Chama mfu maiti.

Ef8JfdcWoAMgAzb.jpg
 
Wakenya muazimeni Magufuli awanyooshe kidogo, walau bongo tupumue kidogo.

Maana mnanuka rushwa.

Na Covid19 haiishi huko... Majizi yashageuza dili.
 
Naibu Rais William Ruto Alhamisi Agosti 20 alisema janga la coronavirus limegeuzwa kuwa sakata ya mabilioni ya pesa humu nchini. Ruto alisema baada ya janga hilo kufika nchini, liligeuzwa na kuwa biashara ya wachache kujipa hela kupitia ufisadi.

Ruto akisema hayo alikuwa anajibu taarifa ya gazeti moja la humu nchini ambalo lilichapisha habari na kumuangazia kama mtu aliyegeuzwa shabiki katika uendeshaji serikali.

'Wacha niendelee kama spectator,' Ruto asema coronavirus imegeuzwa sakata ya mabilioni

=======

My TAKE: Thing fall apart. Hii ndiyo nchi inayotaka kujilinganisha na Tanzania.
Thank you for supporting kenyan media
JamiiForums1978757720.jpg
 
Naibu Rais William Ruto Alhamisi Agosti 20 alisema janga la coronavirus limegeuzwa kuwa sakata ya mabilioni ya pesa humu nchini. Ruto alisema baada ya janga hilo kufika nchini, liligeuzwa na kuwa biashara ya wachache kujipa hela kupitia ufisadi.

Ruto akisema hayo alikuwa anajibu taarifa ya gazeti moja la humu nchini ambalo lilichapisha habari na kumuangazia kama mtu aliyegeuzwa shabiki katika uendeshaji serikali.

'Wacha niendelee kama spectator,' Ruto asema coronavirus imegeuzwa sakata ya mabilioni

=======

My TAKE: Thing fall apart. Hii ndiyo nchi inayotaka kujilinganisha na Tanzania.

Wanaofisidi pesa za Covid19 ni jamaa kutoka chama kilichokuwa cha upinzani ODM, wamepata mwanya huo baada ya the famous ‘HANDSHAKE’ which turned into ‘HANDBRAKE’ for the ruling party JUBILEE! wanakula bila hata kunawa mikono ndo maana Mhe Dr Ruto amekuwa yeye ni observer with his hands akimbo, kapigwa butwaaaaa!
 
Back
Top Bottom