Corona: Sekta ya Utalii itaporomoka sana Duniani hata baada ya ugonjwa kudhibitiwa

Corona: Sekta ya Utalii itaporomoka sana Duniani hata baada ya ugonjwa kudhibitiwa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Inasemekana hadi sasa sekta ya Utalii ndio imepata pigo kubwa sana kufuatia kuzuka kwa ugonjwa wa Corona.

Wataalamu wanasema nchi zinazotegemea sana utalii katika uchumi wake zitayumba sana hata baada ya ugonjwa huu kudhibitiwa. Inashauriwa Wachumi na wanasiasa waanze kubuni sasa mikakati ya kuimarisha chumi zao kwani kutakuwa na udhibiti mkubwa wa wazungu kuja Afrika na hata aina ya misaada itakayotolewa.

Kwa sasa nchi makini duniani zimewapeleka likizo wanasiasa na nafasi yao kuchukuliwa na Wachumi kwani kuna uwezekano mkubwa mfumo wa Siasa ukabadilika kabisa duniani. Zama za mbumbumbu kutafuta ajira kupitia Siasa ndio zinafikia mwisho wake na barani Afrika wanasiasa wengi wataziacha ofisi zao kwa kuhofia nguvu ya Umma.

Maendeleo hayana vyama!
 
Mabadiliko hayazuiliki ni Hali ya uchumi wa dunia ndio italeta mass conscious kwa jamii husika.

Let's say serikali itahubiri jiajiri wakati mazingira ya biashara binafsi hayapo namba za kwenye uchumina mapato zitadhihirisha ajira zipo au mazingaombwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unacho sema ni kweli na kuna possible unrest zitakuwa nyingi sana, tutarajie hadi mapinduzi kwenye baadhi ya nchi
Inasemekana hadi sasa sekta ya Utalii ndio imepata pigo kubwa sana kufuatia kuzuka kwa ugonjwa wa Corona.

Wataalamu wanasema nchi zinazotegemea sana utalii katika uchumi wake zitayumba sana hata baada ya ugonjwa huu kudhibitiwa. Inashauriwa Wachumi na wanasiasa waanze kubuni sasa mikakati ya kuimarisha chumi zao kwani kutakuwa na udhibiti mkubwa wa wazungu kuja Afrika na hata aina ya misaada itakayotolewa.

Kwa sasa nchi makini duniani zimewapeleka likizo wanasiasa na nafasi yao kuchukuliwa na Wachumi kwani kuna uwezekano mkubwa mfumo wa Siasa ukabadilika kabisa duniani. Zama za mbumbumbu kutafuta ajira kupitia Siasa ndio zinafikia mwisho wake na barani Afrika wanasiasa wengi wataziacha ofisi zao kwa kuhofia nguvu ya Umma.

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom