Corona: TEC yabadili utaratibu Alhamisi ya amri hakuna kuoshana miguu na Ijumaa kuu hakutakuwa na kuushika na kuubusu msalaba!

Corona: TEC yabadili utaratibu Alhamisi ya amri hakuna kuoshana miguu na Ijumaa kuu hakutakuwa na kuushika na kuubusu msalaba!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Katibu mkuu wa TEC padre Dr Charles Kitima amesema ili kuendana na maelekezo ya wizara ya afya katika kuikabili corona Kanisa Katoliki limebadili taratibu kadhaa za kiibada siku ya alhamis ya amri (kuu) na Ijumaa kuu.

Alhamisi zoezi la kiibada la kuoshwa miguu halitafanyika na Ijumaa kuu utaratibu wa kuushika na kuubusu Msalaba hautafanyika, amesema Padre Kitima.

Source Star tv

Niendelee kuwatakia Kwaresma yenye baraka!
 
..kwanini wasizuie kabisa ibada hizo.

..ni lazima tuchukue tahadhari zote ambazo ziko ndani ya uwezo wetu.

..hatuwezi kuzuia watu kwenda kutafuta riziko zao, lakini tunaweza kusitisha mikusanyiko yote ya kidini/ibada mpaka hali itakapotengemaa.
 
..kwanini wasizuie kabisa ibada hizo.

..ni lazima tuchukue tahadhari zote ambazo ziko ndani ya uwezo wetu.

..hatuwezi kuzuia watu kwenda kutafuta riziko zao, lakini tunaweza kusitisha mikusanyiko yote ya kidini/ibada mpaka hali itakapotengemaa.

Sadaka utawapa wewe[emoji16]
 
..kwanini wasizuie kabisa ibada hizo.

..ni lazima tuchukue tahadhari zote ambazo ziko ndani ya uwezo wetu.

..hatuwezi kuzuia watu kwenda kutafuta riziko zao, lakini tunaweza kusitisha mikusanyiko yote ya kidini/ibada mpaka hali itakapotengemaa.
Kuzuia ibada ni hatua ya mwisho kabisa!
 
..kwanini wasizuie kabisa ibada hizo.

..ni lazima tuchukue tahadhari zote ambazo ziko ndani ya uwezo wetu.

..hatuwezi kuzuia watu kwenda kutafuta riziko zao, lakini tunaweza kusitisha mikusanyiko yote ya kidini/ibada mpaka hali itakapotengemaa.
Jombaaa Sadaka hapo ndo hupigiwa hesabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..kwanini wasizuie kabisa ibada hizo.

..ni lazima tuchukue tahadhari zote ambazo ziko ndani ya uwezo wetu.

..hatuwezi kuzuia watu kwenda kutafuta riziko zao, lakini tunaweza kusitisha mikusanyiko yote ya kidini/ibada mpaka hali itakapotengemaa.
Wewe siyo mkatoliki. Waachie wakatoliki wafanye kile wanachoona kinafaa kama kundi na pia kwa mtu mmojammoja. Mungu awape hekima ya kupanga yanayofaa kwa usalama wao na wa jamii nzima.

Amen
 
Wewe siyo mkatoliki. Waachie wakatoliki wafanye kile wanachoona kinafaa kama kundi na pia kwa mtu mmojammoja. Mungu awape hekima ya kupanga yanayofaa kwa usalama wao na wa jamii nzima.

Amen
Amen!
 
Kuna kanisa nilipita nje jumapili iliyopita nikaona meseji imeingia inasomeka ile sadaka ya leo tuma namba hii kabla hujaingia kanisani
 
..kwanini wasizuie kabisa ibada hizo.

..ni lazima tuchukue tahadhari zote ambazo ziko ndani ya uwezo wetu.

..hatuwezi kuzuia watu kwenda kutafuta riziko zao, lakini tunaweza kusitisha mikusanyiko yote ya kidini/ibada mpaka hali itakapotengemaa.
Mtatuua na njaa. Sadaka itakuwaje?
 
Wewe siyo mkatoliki. Waachie wakatoliki wafanye kile wanachoona kinafaa kama kundi na pia kwa mtu mmojammoja. Mungu awape hekima ya kupanga yanayofaa kwa usalama wao na wa jamii nzima.

Amen

..mimi sitaki wakatoliki waathirike.

..vilevile sitaki wakatoliki wazembee kuchukua tahadhari, na matokeo yake wawe chanzo cha maambukizi kwa wengine.
 
Katibu mkuu wa TEC padre Dr Charles Kitima amesema ili kuendana na maelekezo ya wizara ya afya katika kuikabili corona Kanisa Katoliki limebadili taratibu kadhaa za kiibada siku ya alhamis ya amri (kuu) na Ijumaa kuu.

Alhamisi zoezi la kiibada la kuoshwa miguu halitafanyika na Ijumaa kuu utaratibu wa kuushika na kuubusu Msalaba hautafanyika, amesema Padre Kitima.

Source Star tv

Niendelee kuwatakia Kwaresma yenye baraka!
Hapo ni sawa waseme tu hakuna ibada alhamisi kuu Wala ijumaa kuu,,,Mana hayo matendo ndio yanaongoza ibada yenyewe,,,wafute tu kuondoa mikusanyiko.
 
Katibu mkuu wa TEC padre Dr Charles Kitima amesema ili kuendana na maelekezo ya wizara ya afya katika kuikabili corona Kanisa Katoliki limebadili taratibu kadhaa za kiibada siku ya alhamis ya amri (kuu) na Ijumaa kuu.

Alhamisi zoezi la kiibada la kuoshwa miguu halitafanyika na Ijumaa kuu utaratibu wa kuushika na kuubusu Msalaba hautafanyika, amesema Padre Kitima.

Source Star tv

Niendelee kuwatakia Kwaresma yenye baraka!
Hapo ni sawa waseme tu hakuna ibada alhamisi kuu Wala ijumaa kuu,,,Mana hayo matendo ndio yanaongoza ibada yenyewe,,,wafute tu kuondoa mikusanyiko.
 
Back
Top Bottom