Umesahau kauli ya Mwenyekiti kuwa madiwani hawakuchaguliwa na n=wananchi? Maana yake mwaka kura tulizopiga hazikuhesabiwa bali walipitisha watu wanaowataka kuanzia madiwani hadi raisSerikali haina mamlaka ya kuikataa miito yetu labda kama haituwakilishi sisi.
Nguli wa sayanzi asiyeamini katika sayansi.Unamkosoa nani Rais wetu mtaalamu na nguli wa kemia na mwanasayansi.wew umekosa uzalendo wew ni kuwadi na kibaraka wa mabeberu hatukaki ujinga wenu
mkuu sio kwa hili. hizo nchi matajiri tu zinapiga kolabo.Ni muda muafaka wa kujitegemea kiakili.
Hujakatazwa kufuata chanjo, nenda katumie
π π π π π β£οΈmkuu sio kwa hili. hizo nchi matajiri tu zinapiga kolabo.
hata hizi kampuni za kibeberu japo zina ukwasi wa hatari imebd ziungane kutengeneza hizi chanjo.
View attachment 1718079
Hizo chanjo hata mimi siziamini.