Nyamsusa JB
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 567
- 1,564
Habarini wanajanvi.
Jana nilirudi kazini Mauritania. Watu wote tuliofika na Ndege za jana tumewekwa kizuizini kwa siku 14 kuangalia kama tuna maambukizi ya Corona virus. Hivyo tutakuwa hapa hotelini kwa siku 14. Haturuhusiwi kutoka vyumbani na wala kukutana na watu.
Pia leo Airport imefungwa kwa muda usiojulikana mpaka hapo itakapotangazwa.
Vipi huko Nyumbani hatua kama hizi zimechukuliwa.
Tuombe Mungu hii Issue inakuwa Mbaya kila Uchao.
Tutafahamishana hali ilivyo kadri ya siku 14 zangu kizuizini. Tuombe Mungu.
Jana nilirudi kazini Mauritania. Watu wote tuliofika na Ndege za jana tumewekwa kizuizini kwa siku 14 kuangalia kama tuna maambukizi ya Corona virus. Hivyo tutakuwa hapa hotelini kwa siku 14. Haturuhusiwi kutoka vyumbani na wala kukutana na watu.
Pia leo Airport imefungwa kwa muda usiojulikana mpaka hapo itakapotangazwa.
Vipi huko Nyumbani hatua kama hizi zimechukuliwa.
Tuombe Mungu hii Issue inakuwa Mbaya kila Uchao.
Tutafahamishana hali ilivyo kadri ya siku 14 zangu kizuizini. Tuombe Mungu.