Corona: Wakenya waamua kutumia dawa za Kinjekitile Ngwale

Corona: Wakenya waamua kutumia dawa za Kinjekitile Ngwale

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


MY TAKE: Mtakumbuka walivyokuwa wakimtukana na kumkejeli Magufuli alipokua akihimiza matumizi ya Limau na kujifukiza na kumfananisha na Kinjekitile, kabla ya hata Jua halijazama, wameamua kutumia dawa ile ile ya Kinjekitile Ngwale, ila wanatumia kimyakimya ili Kinjikitile asijue kwa kuogopa aibu na fedheha.

Hao ndio wakenya walivyo
 
Malimao huku Tanzania yamepanda bei sababu mengi yanaendana kwa manyang'au

ww oolisikia wapii...mheshimiwa?😂
madreva watz wamejaa karantiniii, wakiingia tuu nchini, mzigo unafaulishwa na wao wanaingia karantin! mle ndani kuna njemba zimejishindia wakee toka tz mazeee!😂
 
ww oolisikia wapii...mheshimiwa?[emoji23]
madreva watz wamejaa karantiniii, wakiingia tuu nchini, mzigo unafaulishwa na wao wanaingia karantin! mle ndani kuna njemba zimejishindia wakee toka tz mazeee![emoji23]
Mnahisikiaje kuamua kutumia dawa ambazo mwanzoni mlitucheka na kutudhalilisha?
 
Mbona hutaki kujibu swali?, mnajisikiaje kutumia dawa za Kinjekitile Ngwale?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwn ulianza kuskia watu wanakula malimao wakati magufuli yupo madarakani[emoji23][emoji23]
Malimao ni appetizer jomba, wengine haipiti wiki bila ya kutumia..
Sasa nakushngaa wews jamaa la kutoka bara
 


MY TAKE: Mtakumbuka walivyokuwa wakimtukana na kumkejeli Magufuli alipokua akihimiza matumizi ya Limau na kujifukiza na kumfananisha na Kinjekitile, kabla ya hata Jua halijazama, wameamua kutumia dawa ile ile ya Kinjekitile Ngwale, ila wanatumia kimyakimya ili Kinjikitile asijue kwa kuogopa aibu na fedheha.

Hao ndio wakenya walivyo

Wao wanaamini njia za ki-science pekee,
 
Kwn ulianza kuskia watu wanakula malimao wakati magufuli yupo madarakani[emoji23][emoji23]
Malimao ni appetizer jomba, wengine haipiti wiki bila ya kutumia..
Sasa nakushngaa wews jamaa la kutoka bara
Mlipomuita ni Kinjekitile Ngwale kwa sababu alikua anahimiza matumizi ya Limao na Tangawizi kama dawa ya Corona hamkulijua hilo?, mnaona msivyokua na akili?, Magufuli house[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mlipomuita ni Kinjekitile Ngwale kwa sababu alikua anahimiza matumizi ya Limao na Tangawizi kama dawa ya Corona hamkulijua hilo?, mnaona msivyokua na akili?, Magufuli house[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Malimao mjini tumeanza kula kitambo, labda we msukuma ndio ulianza kuskia kw magufuli..
Tangawizi, iliki nk. Ni vitu ambavyo haipiti siku kutumia, sasa nakushangaa mm[emoji23][emoji23]
 
Malimao mjini tumeanza kula kitambo, labda we msukuma ndio ulianza kuskia kw magufuli..
Tangawizi, iliki nk. Ni vitu ambavyo haipiti siku kutumia, sasa nakushangaa mm[emoji23][emoji23]
Sasa kwanini mulimuita Kinjekitile?, kubali kwamba hamna akili lazima muige wazungu, sasa hivi mumeamua kuiga Magufuli baada ya wazungu kushindwa na Magufuli ktk kudhibiti Corona, wajinga sana ninyi, Magufuli hoyeeeeeeeee
 
Sasa kwanini mulimuita Kinjekitile?, kubali kwamba hamna akili lazima muige wazungu, sasa hivi mumeamua kuiga Magufuli baada ya wazungu kushindwa na Magufuli ktk kudhibiti Corona, wajinga sana ninyi, Magufuli hoyeeeeeeeee
Reli muliiga chato[emoji23][emoji23]
 
Yaani misaada ya kupambana na corona walipewa,

Mikopo walipewa,

Vifaa vya kupima na kujikinga walipewa,

Curfew waliweka pamoja na lockdown ya baadhi ya shughuli,

Mipaka walifunga,

Halafu hadi muda huu wameshindwa kupunguza maambukizi pamoja na kutokomeza kabisa,

Nina kila sababu ya kujivunia kuwa Mtanzania.
 
Back
Top Bottom