Corona: Wakenya waendelea kupukutika kwa kasi

Corona: Wakenya waendelea kupukutika kwa kasi

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617



Kifo cha mtoto wa Kerecho Breweries kilichotokea huko Lamu hivi majuzi kinatokana na Ugonjwa wa Corona na sio ajali kama ambavyo Serikali ya Kenya inajaribu kuficha

Vifo vitokanavyo na Corona vimeongezeka sana nchini Kenya na vingi hutokea nyumbani kwasababu wagonjwa wengi hasa kutoka Mombasa na eneo zima la pwani wamegoma kwenda Hospitalini kutokana na huduma duni na kunyanyapaliwa na wahudumu wa Afya.

Wakati Kenya ikitoa kipaumbele katika upimaji bila ya kuchukua hatua thabiti za kuzuia maambukizi yasizidi kuenea, wakenya na dunia inajiuliza kama kweli Serikali ya Kenya inajua nini inachotaka kukipata katika mapambano ya Corona, kwa sababu bado idadi ya wagonjwa na vifo vinazidi kuongezeka kwa kasi.
 
MK254 anasemaje kuhusu hili?

Mbona sisi hatujakataa, tunakufa maana lipo na ipo, Corona ipo na hatujafukia vichwa vyetu ardhini kama mnavyofanya kwenu hadi tunaona mawaziri na wabunge wakijifia, bora wao wanatolewa taarifa, watu wa mitaani yenu inaishia kuzikwa tu....
Ona mtaani kulivyoo

 
Mbona sisi hatujakataa, tunakufa maana lipo na ipo, Corona ipo na hatujafukia vichwa vyetu ardhini kama mnavyofanya kwenu hadi tunaona mawaziri na wabunge wakijifia, bora wao wanatolewa taarifa, watu wa mitaani yenu inaishia kuzikwa tu....
Ona mtaani kulivyoo

Mbona huyu mumeficha na kusema ni ajali?. Ujinga wenu ni pale mnapojaribu kutetea ujinga wenu wa kupima bila kuchukua hatua stahiki za kuzuia maambukizi huku mkijisifu wakati idadi inazidi kuongezeka siku hadi siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona huyu mumeficha na kusema ni ajali?. Ujinga wenu ni pale mnapojaribu kutetea ujinga wenu wa kupima bila kuchukua hatua stahiki za kuzuia maambukizi huku mkijisifu wakati idadi inazidi kuongezeka siku hadi siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa wenyenacho! Familia haitaki kuwekwa Quarantine!
 
Mbona sisi hatujakataa, tunakufa maana lipo na ipo, Corona ipo na hatujafukia vichwa vyetu ardhini kama mnavyofanya kwenu hadi tunaona mawaziri na wabunge wakijifia, bora wao wanatolewa taarifa, watu wa mitaani yenu inaishia kuzikwa tu....
Ona mtaani kulivyoo


Vipi kule?. Baada ya kutupiga over take na siku mbili maambukizi yakaisha mara hiyohiyo kighafla!. 🤣🤣
 
Mbona sisi hatujakataa, tunakufa maana lipo na ipo, Corona ipo na hatujafukia vichwa vyetu ardhini kama mnavyofanya kwenu hadi tunaona mawaziri na wabunge wakijifia, bora wao wanatolewa taarifa, watu wa mitaani yenu inaishia kuzikwa tu....
Ona mtaani kulivyoo


Nimekuelewa sasa mbona serikali yenu inasema ni ajali na sio corona? Naona na nyie vile vile FICHA FICHA JAZZ BAND.
 
joto la jiwe,

Mzee wetu nilikuwa nimepatwa na majonzi sana. Nilifikiria kwamba ulipata Corona ukatuwacha. Nafurahi kuona umerudi salama. Karibu
 
Nimekuelewa sasa mbona serikali yenu inasema ni ajali na sio corona? Naona na nyie vile vile FICHA FICHA JAZZ BAND.

Sisi hatupo kwenye mwka wa uchaguzi, hatuna sababu zozote za kuficha Corona, sasa hivi tunafanya mass testing an kuwafuata watu mpaka nyumbani kwao, nyumba kwa nyumba, mlango kwa mlango, sasa uniambie watu wanaofanya shughuli kama hii watakua na sababu zipi za kuficha.

Nyie hapo sampuli zenu lazima zitumwe Dar kisha usubiri siku nyingi na hapo ndio hatari, kabla matokeo kurudi ikoani tayari umezikwa.

Sasa hivi naona hata wabunge wameikimbia bunge na Makonda amesema atawakamata kama machangudoa, hehehe hiyo nchi yenu bana, hebu check hii video.

https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/05/2390738__CoqjfLhVKKaluf7.mp4
 
Mzee wetu nilikuwa nimepatwa na majonzi sana. Nilifikiria kwamba ulipata Corona ukatuwacha. Nafurahi kuona umerudi salama. Karibu
Upo sahihi kabisa, niliwekwa katika chumba cha uangalizi maalumu baada ya kugundulika nina Virusi vya Corona, lakini baada ya Mbuzi na Papai kugundulika pia zina maambukizi, wote tuliokua tumelazwa "ICU", tumeruhusiwa kurudi NYUMBANI
Asante sana kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulala na binti wa billionaire ni risky business sana. Sasa huyu Omar lazima atafungwa jela.
 
Sisi hatupo kwenye mwka wa uchaguzi, hatuna sababu zozote za kuficha Corona, sasa hivi tunafanya mass testing an kuwafuata watu mpaka nyumbani kwao, nyumba kwa nyumba, mlango kwa mlango, sasa uniambie watu wanaofanya shughuli kama hii watakua na sababu zipi za kuficha.

Nyie hapo sampuli zenu lazima zitumwe Dar kisha usubiri siku nyingi na hapo ndio hatari, kabla matokeo kurudi ikoani tayari umezikwa.

Sasa hivi naona hata wabunge wameikimbia bunge na Makonda amesema atawakamata kama machangudoa, hehehe hiyo nchi yenu bana, hebu check hii video.

https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/05/2390738__CoqjfLhVKKaluf7.mp4
Tanzania uchaguzi haubadilishi lolote, sisi sio wakabila, tatizo Kenya ni ukabila ndio sababu ukifika mwaka wa uchaguzi kila kitu kinasimama


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi hatupo kwenye mwka wa uchaguzi, hatuna sababu zozote za kuficha Corona, sasa hivi tunafanya mass testing an kuwafuata watu mpaka nyumbani kwao, nyumba kwa nyumba, mlango kwa mlango, sasa uniambie watu wanaofanya shughuli kama hii watakua na sababu zipi za kuficha.

Nyie hapo sampuli zenu lazima zitumwe Dar kisha usubiri siku nyingi na hapo ndio hatari, kabla matokeo kurudi ikoani tayari umezikwa.

Sasa hivi naona hata wabunge wameikimbia bunge na Makonda amesema atawakamata kama machangudoa, hehehe hiyo nchi yenu bana, hebu check hii video.

https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/05/2390738__CoqjfLhVKKaluf7.mp4
Tupe link inayoonyesha serikali ya kenya inafanya mass testing ikienda nyumba kwa nyumba,na ilianza lini na mpaka sasa mmepima watu wangapi....Share link tu mkuu lengo na sie tuige mazuri ya kwenu.
 
Back
Top Bottom