joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #21
Hilo ndio tatizo la "Capitalism + Corruption = man eat man society". Hakuna haki wala usawa kwa masikini.Kulala na binti wa billionaire ni risky business sana. Sasa huyu Omar lazima atafungwa jela.
Hiyo ni cover up huyu alikuwa na coronavirus ilipomzidia akadondoka na bahati mbaya alikuwa ghorofani! Hata boyfriend yupo Quarantine sasa!Naona jamaa wa "Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kuzuia maambukizi na kuenea kwa Corona" amerejea baada ya kuzamia mafichoni kwa aibu nyingi. Mbona DCI walizuilia mwili wa Marehememu kutolewa mochwari kwa siku tatu kama kifo kilisababishwa na Corona. Directorate of Criminal Investigations wanachunguza nini kuhusu kifo cha Tecra Muigai kama tayari kwamba ni Corona kama unavodai? What killed Keroche Breweries heiress? : The Standard
Kweli kabisa. Ila usisahau kwamba TZ pia ni capitalist.Hilo ndio tatizo la "Capitalism + Corruption = man eat man society". Hakuna haki wala usawa kwa masikini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa. Huyu jamaa alisepa wakati Tanzania iliovertake Kenya kwa number of cases. Alikuwa anasema hakuna haja ya mass testing.Naona jamaa wa "Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kuzuia maambukizi na kuenea kwa Corona" amerejea baada ya kuzamia mafichoni kwa aibu nyingi. [emoji1] Mbona DCI wanafatilia postmortem ya mwili wa marehemu na kwanini postmortem inafanywa. Directorate of Criminal Investigations wanachunguza nini kuhusu kifo cha Tecra Muigai kama tayari wanajua kwamba ni Corona kama unavodai? What killed Keroche Breweries heiress? : The Standard
Wapii, sisi hatuwezi kuwa Capitalists hata siku moja, ni sawa na kusema China, Cuba, Russia ni capitalist countries. Tanzania ni waanzilishi wa "African Socialism known as Ujamaa".Kweli kabisa. Ila usisahau kwamba TZ pia ni capitalist.
Leta ushahidi sio porojo, alafu hata kama ingekuwa ni Corona ndio imemuua yeye hatakuwa wa kwanza. Au mnaruka ruka kwasababu Keroche Breweries ni yao? Corona haibagui, kuna hadi Naibu gavana ambaye kwa bahati nzuri alipona. Huku Kenya hivyo sio vitu vya kuficha, au kusherehekea kama wachawi. Ingekuwa ni cover up ya kisisiemu wangemzika kisiri siri usiku wa manane bila postmortem, uchunguzi wala nini.hiyo ni cover up huyu alikuwa na coronavirus ilipomzidia akadondoka na bahati mbaya alikuwa ghorofani! Hata boyfriend yupo Quarantine sasa!
Mass testing is useless without strategies, that's why Kenya is recording big number of new infections and deaths daily.Ni kweli kabisa. Huyu jamaa alisepa wakati Tanzania iliovertake Kenya kwa number of cases. Alikuwa anasema hakuna haja ya mass testing.
Mass testing is useless without strategies, that's why Kenya is recording big number of new infections and deaths daily.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa walinipiga "ban" kwasababu nilizidisha "attacks" kwa wakenya, sasa hivi kidogo sitowashambulia sana, ila muwe na adabu.Naona jamaa wa "Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kuzuia maambukizi na kuenea kwa Corona" amerejea baada ya kuzamia mafichoni kwa aibu nyingi. [emoji1] Mbona DCI wanafatilia postmortem ya mwili wa marehemu na kwanini postmortem inafanywa. Directorate of Criminal Investigations wanachunguza nini kuhusu kifo cha Tecra Muigai kama tayari wanajua kwamba ni Corona kama unavodai? What killed Keroche Breweries heiress? : The Standard
Sijui kwanini wanatumia nguvu nyingi hivi wakati tayari mzee alisema kwamba Corona ni kashetani na dawa ni kuenda kanisani. Wamebackslide nini? 😀Geza and cohorts mnatafuta stories kwa nguvu yaani, hio ndio uzuri wakuwa open unlike you, dont force whats not there
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi katika uzi uliofunguliwa na mwenzenu unaosomeka "Baadhi ya wakazi wa Mombasa, jamani acheni ukaidi....", kesho soma post#7, utapata jibu la kwanini tunatumia nguvu.Sijui kwanini wanatumia nguvu nyingi hivi wakati tayari mzee alisema kwamba Corona ni kashetani na dawa ni kuenda kanisani. Wamebackslide nini? 😀
Aaah wapi, aibu zilikuzidia baada ya kukurupuka bila kushirikisha ubongo. Hebu soma pumba zako humu, uone tulivokuwa tunajaribu kukuelimisha. Ulikuwa hadi na scoreboad ya vifo, ukiwabeza wakenya eti Kenya-90, Tz-32, bure kabisa! Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona - JamiiForumsJamaa walinipiga "ban" kwasababu nilizidisha "attacks" kwa wakenya, sasa hivi kidogo sitowashambulia sana, ila muwe na adabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe link inayoonyesha serikali ya kenya inafanya mass testing ikienda nyumba kwa nyumba,na ilianza lini na mpaka sasa mmepima watu wangapi....Share link tu mkuu lengo na sie tuige mazuri ya kwenu.
Kwani kuna kilichobadilika?, hadi leo scoreboard inasomaje?Aaah wapi, aibu zilikuzidia baada ya kukurupuka bila kushirikisha ubongo. Hebu soma pumba zako humu, uone tulivokuwa tunajaribu kukuelimisha. Ulikuwa hadi na scoreboad ya vifo, ukiwabeza wakenya eti Kenya-90, Tz-32, bure kabisa! Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona - JamiiForums
Hebu nikuache usije ukaniambukiza uzero brain.
Muelewe tu jombaa, sio kupenda kwake.Ni kweli kabisa. Huyu jamaa alisepa wakati Tanzania iliovertake Kenya kwa number of cases. Alikuwa anasema hakuna haja ya mass testing.