Corona: Wanasiasa na viongozi wa Kenya kuiga Magufuli katika kwa kupima wanyama, ndege, na matunda ili kuhakikisha ubora wa maabara za Kenya

Corona: Wanasiasa na viongozi wa Kenya kuiga Magufuli katika kwa kupima wanyama, ndege, na matunda ili kuhakikisha ubora wa maabara za Kenya

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Ile hotuba ya Magu,kuhusu kits,imesambaa dunia mzima,nilikuwa napitia vyombo vya habari vikubwa duniani,Yaani ndio habari kwa sasa,hawa majirani wetu ndio wanaamka,najua wanafanya kimya kimya kuepuka aibu,lakini Magu will stand to be the best President ever in the Continent!
 
Mbona watasisoma namba, wanasubiri mabwana zao wazungu wakifuata alichokifanya anko Magu ndio nao watakubali waziwazi, c unajua madhara ya lugha ya kitumwa ukiitegemea Kama lugha yako ya taifa unabaki kuwa na mawazo ya kitumwa bila kutawaliwa
Machakos Governor Alfred Mutua to Use Pawpaws in Covid-19 Mass Testing

Alfred Mutua ni miongoni mwa magavana wenye elimu ya kiwango cha "PhD" kama alivyo Magufuli, yeye pia ameona umuhimu katika kitendo alichofanya Magufuli, jambo la kusikitisha, watu wenye digirii za kuunga kwa "superglue" humu wanajaribu kumpinga na kumkebehi. "Help them God".

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom