#COVID19 Corona: Wasiochanjwa ni kichocheo kwa Virusi Hatari zaidi

#COVID19 Corona: Wasiochanjwa ni kichocheo kwa Virusi Hatari zaidi

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Sayansi ya virusi ni mtambuka kama zilivyo zingine.

Virusi vinafahamika kubadilika hata kuwa hatari zaidi, visipotokomezwa mapema.

Virusi vya corona katika miili ya wasiochanjwa ndiko yaliko maeneo wezeshi ya kupatikana aina konki zaidi.

Kwa kuutambua ukweli huu wenye kuelewa wanaelekea kwenye chanjo za shuruti. Hawa pia wanasitisha safari za anga na Afrika Kusini.

Kwa kuupuza ukweli huu wengine wanaiweka dunia yote hatarini.

"Hakuna aliye salama hadi pale kila mtu atakapo kuwa salama."

Huo ndiyo ulio ukweli wenyewe.

------------
Angalizo:

Hii ni sawa na Kipepe aliyeingia mijini na baiskeli ya miti na kuishia kusababisha ajali.

Hata baada ya ajali Kipepe hakuweza kuelewa ni vipi kuveshwa msala huo wa ajali hali waliogongana ni hao waliokuwa wakimnyanyapaa 😁😁.

Wenye ma rover yao Mars, Corona ni tatizo isipokuwa Tanzania wanakothubutu kutamka hadharani kuwa wao Corona wameshaizowea.

Maajabu kamili ya Mussa!
 
Uganda wanapopitisha sheria chanjo kuwa lazima, Sukuma genge na binamu zao wao Corona ni mshirika tu.
 
Kwa hiyo chanjo ndo zitazuia kutokea kwa variants, kadanganyeni mazwazwa wenzenu walioshikwa masikio na beberu..........virusi vinakuwa manipulated kwenye maabara mnakuja kuleta uzushi kwamba ni mutations na kwamba hizo mutations ziko driven na watu ambao hawajachanjwa! naona biashara ya chanjo ya beberu ikipigiwa debe kwa hila zote............yetu macho na masikio.​
 
Kwa hiyo chanjo ndo zitazuia kutokea kwa variants, kadanganyeni mazwazwa wenzenu walioshikwa masikio na beberu..........virusi vinakuwa manipulated kwenye maabara mnakuja kuleta uzushi kwamba ni mutations na kwamba hizo mutations ziko driven na watu ambao hawajachanjwa! naona biashara ya chanjo ya beberu ikipigiwa debe kwa hila zote............yetu macho na masikio.​

Sayansi ya virusi ni mtambuka. Kwamba siyo size yako? Mbona wala halipo la ajabu:

EU vs Tanzania: Zijue sababu za EU Kuuma na Kupuliza
 
Kwa hiyo chanjo ndo zitazuia kutokea kwa variants, kadanganyeni mazwazwa wenzenu walioshikwa masikio na beberu..........virusi vinakuwa manipulated kwenye maabara mnakuja kuleta uzushi kwamba ni mutations na kwamba hizo mutations ziko driven na watu ambao hawajachanjwa! naona biashara ya chanjo ya beberu ikipigiwa debe kwa hila zote............yetu macho na masikio.​


👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻🙏🏻🙏🏻✔✔ 💯%
 
Back
Top Bottom