CoronaVirus: Aina ya Barakoa (Mask) inayoweza kukukinga na Virusi ni N95

CoronaVirus: Aina ya Barakoa (Mask) inayoweza kukukinga na Virusi ni N95

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
FCAD1A01-9F13-4805-9590-C980FB1FFC32.jpeg

Ushauri wa Wataalamu wa Afya unaeleza kuwa sio kila aina ya Barakoa (Mask) inaweza kukulinda ili usipate maambukizi ya virusi vya Corona ila Barakoa pekee inayoweza kukulinda ni ya aina ya N95.

Wanasema virusi hivyo vinaingia mwilini kupitia macho, mdomo na pua hivyo njia pekee ya kukinga na maambukizi ni kusafisha mikono mara kwa mara kwa maji tiririka na sabuni au 'sanitizer'

Unapata maambukizi endapo muathirika wa virusi hivi atakukoholea au kukupigia chafya usoni. Kumbuka virusi hivi havisambazwi kwa njia ya hewa.

Kinachotokea ni endapo muathirika atakohoa au kupiga chafya virusi hutapakaa kwenye vitu na ukija kushika na kisha kujishika unapata virusi hivyo, ndio maana unatakiwa kusafisha mikoni.

Aidha, ukiivua barakoa hutakiwi kuivaa tena na ukiwa umeivaa unatakiwa kuwa muangalifu kutoishika hata wakati wa kuivua, vua ukiwa umeshika kamba sio sehemu ya mbele.

Kumbuka, unashauriwa kutumia 'sanitizer' iwapo hauna maji tiririka na sabuni.

61E45BB1-AC9E-450C-A680-B56D56111394.jpeg
 
Mgeni njoo mwenyeji apone
Fursa imetumika vizuri na wauza barakoa na sanitizer safi sana kila moja atakula ofisini kwake
 

Ushauri wa Wataalamu wa Afya unaeleza kuwa sio kila aina ya Barakoa (Mask) inaweza kukulinda ili usipate maambukizi ya virusi vya Corona ila Barakoa pekee inayoweza kukulinda ni ya aina ya N95.

Wanasema virusi hivyo vinaingia mwilini kupitia macho, mdomo na pua hivyo njia pekee ya kukinga na maambukizi ni kusafisha mikono mara kwa mara kwa maji tiririka na sabuni au 'sanitizer'

Unapata maambukizi endapo muathirika wa virusi hivi atakukoholea au kukupigia chafya usoni. Kumbuka virusi hivi havisambazwi kwa njia ya hewa.

Kinachotokea ni endapo muathirika atakohoa au kupiga chafya virusi hutapakaa kwenye vitu na ukija kushika na kisha kujishika unapata virusi hivyo, ndio maana unatakiwa kusafisha mikoni.

Aidha, ukiivua barakoa hutakiwi kuivaa tena na ukiwa umeivaa unatakiwa kuwa muangalifu kutoishika hata wakati wa kuivua, vua ukiwa umeshika kamba sio sehemu ya mbele.

Kumbuka, unashauriwa kutumia 'sanitizer' iwapo hauna maji tiririka na sabuni.

View attachment 1391874
SANITIZER TUMEAMBIWA TUCHANGANYE SPIRIT LIQUID PAMOJA NA GLYCERINE 100/50 RATIO TUTAONGEZA NA DETTO NDANI YAKE.

MASK TUTATUMIA HATA HANDKERCHIEFS, KWA SABABU KUMBE NI KWA YULE ANAEKOHOA AU KUPIGA CHAFYA ILI ASIRUSHIE WATU VIJIDUDU.

MUHIMU NI KUACHA MAASI KAMA USHIRIKINA, ZINAA, ULEVI, MAUWAJI, RIBA N.K KISHA KULETA KWA WINGI DUAA.

TUKIKUBALIANA KTK MAMBO HAYO YA KHERI, BASI TZ ITAKUWA SALAMA. LAKINI KAMA WATU WATAENDELEA KURUSHA VIDEO ZA MAMBO YAO MACHAFU MITANDAONI, WASHIRIKINA WAKAENDELEZA UJINGA WAO, NA RIBA ZIKAPAMBA MOTO WAZWAZI NA KUTANGAXWA, NA NA NA NA.. BASI TUSUBIRI KICHAPO. ILA TU HURUMA ZA MUUMBA WETU NDIO TEGEMEO LETU.
 
SANITIZER TUMEAMBIWA TUCHANGANYE SPIRIT LIQUID PAMOJA NA GLYCERINE 100/50 RATIO TUTAONGEZA NA DETTO NDANI YAKE.

MASK TUTATUMIA HATA HANDKERCHIEFS, KWA SABABU KUMBE NI KWA YULE ANAEKOHOA AU KUPIGA CHAFYA ILI ASIRUSHIE WATU VIJIDUDU.

MUHIMU NI KUACHA MAASI KAMA USHIRIKINA, ZINAA, ULEVI, MAUWAJI, RIBA N.K KISHA KULETA KWA WINGI DUAA.

TUKIKUBALIANA KTK MAMBO HAYO YA KHERI, BASI TZ ITAKUWA SALAMA. LAKINI KAMA WATU WATAENDELEA KURUSHA VIDEO ZA MAMBO YAO MACHAFU MITANDAONI, WASHIRIKINA WAKAENDELEZA UJINGA WAO, NA RIBA ZIKAPAMBA MOTO WAZWAZI NA KUTANGAXWA, NA NA NA NA.. BASI TUSUBIRI KICHAPO. ILA TU HURUMA ZA MUUMBA WETU NDIO TEGEMEO LETU.
Nipe elimu kidogo juu ya riba, na ni kwa jinsi gani ni dhambi.
 
Leo asubuhi nimepiga zangu barakoa ajabu kila nikikatiza mtaani watu wananikodolea macho. Kilichoniacha hoi zaidi pale jamaa yangu mmoja aliponiambi eti nipunguze usharobaro.

Dah! Nimestaajabu! Au labda ni mimi nimesikia tu nimesikia vibaya juu ya tahadhari ya uvaaji wa barakoa ili kuepuka maambukizi ya COVID 19.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo asubuhi nimepiga zangu barakoa ajabu kila nikikatiza mtaani watu wananikodolea macho. Kilichoniacha hoi zaidi pale jamaa yangu mmoja aliponiambi eti nipunguze usharobaro.

Dah! Nimestaajabu! Au labda ni mimi nimesikia tu nimesikia vibaya juu ya tahadhari ya uvaaji wa barakoa ili kuepuka maambukizi ya COVID 19.

Sent using Jamii Forums mobile app
N
*New Member* from Facebook?
 
Mbona WHO wanasema zinatumika kwa mtu aliye ambukizwa tu kama njia ya kukinga wengine?
Hiyo info ya zamani. Sasa wanasema kirusi kinaweza kukaa kwenye hewa kwa masaa zaidi ya 12 kama droplets baada ya muathirika kukohoa au kupiga chafya bila kujikinga. Kuvaa Mask ni lazima kwa wote

Sent From Galaxy S9
 
Hiyo info ya zamani. Sasa wanasema kirusi kinaweza kukaa kwenye hewa kwa masaa zaidi ya 12 kama droplets baada ya muathirika kukohoa au kupiga chafya bila kujikinga. Kuvaa Mask ni lazima kwa wote

Sent From Galaxy S9
Wahuni hawa wanataka tuishe wa China ni wajinga wao!!!
Wamevaa barakoa wamepunguza maambukizi!
 
Wahuni hawa wanataka tuishe wa China ni wajinga wao!!!
Wamevaa barakoa wamepunguza maambukizi!
China alitaka kirusi kisambae dunia nzima ndo maana hawakutoa info sahihi na WHO wanawakingia kifua.

Sent From Galaxy S9
 
Jamani hizi Barakoa tunazovaa mbona vituko? Barakoa zina maua mauaaa!

Nimemuangalia mkuu wa wilaya ya Sijui Kigamboni hapa Channel 10 kavaa barakoa la kitenge! Are we real serious?

Watu wanajifunga nailoni, leso, kanga na vitambaa vya kichwa! WHO wamesema Corona itakuwa more severe in Africa, real I can see this!

Hizo barakoa wanazogawa mabilionea zinakwenda wapi?

Soon utasikia tunaazimana barakoa ili tusikamatwe pindi tuendapo sokoni, vivukoni nk!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom