CoronaVirus: Mtoto wa miaka 6 afariki dunia. Jumla ya Walioathirika kwa virusi hivyo wafikia 122

CoronaVirus: Mtoto wa miaka 6 afariki dunia. Jumla ya Walioathirika kwa virusi hivyo wafikia 122

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona (Covid-19) nchini Kenya imefikia 122 baada ya watu wengine 12 kuthibitishwa kuwa navyo ndani ya saa 24 zilizopita.

Katibu wa kudumu katika Wizara ya Afya Mercy Mwangangi kwamba kati ya raia hao waliuopatikana na virusi hivyo ni wakenya 11 na raia mmoja wa Somalia.

Aidha amesema kwamba Kenya imepoteza mgonjwa mwengine kupitia virusi hivyo na kufanya idadi ya waliofariki kufikia watu 4.

Amesema kwamba mgonjwa huyo ni mvulana wa miaka sita ambaye alikuwa akiugua ugonjwa uliokuwa ukiathiri kinga yake.

Siku ya Alhamisi Waziri wa Afya Mutahi Kagwe alima kwamba watu wengine wawili walipoteza maisha yao kutokana na maambukizi ya virusi hivyo.

Amesema kwamba idadi hiyo inaongeza idadi ya watu waliofariki kutokana na ugonjwa huo kufikia watatu. Kagwe ameongezea kwamba wagonjwa waliofariki wanatoka miji ya Nairobi na Mombasa.

======

Health CAS Mercy Mwangangi has announced that Kenya has 12 more Covid-19 cases.

This now brings the number to 122 cases. Out of these, 11 are Kenyans and one is Somali.

But she noted that Kenya has lost one other patient to Covid-19. A six-year-old boy with a pre-existing condition succumbed to Covid-19.

This brings the total deaths to four.

On Thursday, the government announced 29 new infections and two deaths, the biggest numbers since the first case of coronavirus was confirmed on March 13.

The government begun local production of face masks that will be distributed through the county governments and chairmen of boda bodas and matatus.

Tailors will also be allowed to make face masks from particular materials and are being advised to sell them at a cheap price.

The counties will hire 5,000 health workers in the next seven days beginning immediately.

Community spread is the cause of between 27 per cent to 36 per cent of Covid-19 cases, according to the Ministry of Health director-general Dr Patrick Amoth.
 
Duuh hali inazidi kuwa mbaya east-africa
Masahihisho, Hali inazidi kuwa ngumu Kenya, Tanzania hakuna maambukizi mapya yoyote na mtu 1 amepona, idadi ya waliopona imeongezeka na kuwa 3
 
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona (Covid-19) nchini Kenya imefikia 122 baada ya watu wengine 12 kuthibitishwa kuwa navyo ndani ya saa 24 zilizopita.

Katibu wa kudumu katika Wizara ya Afya Mercy Mwangangi kwamba kati ya raia hao waliuopatikana na virusi hivyo ni wakenya 11 na raia mmoja wa Somalia.

Aidha amesema kwamba Kenya imepoteza mgonjwa mwengine kupitia virusi hivyo na kufanya idadi ya waliofariki kufikia watu 4.

Amesema kwamba mgonjwa huyo ni mvulana wa miaka sita ambaye alikuwa akiugua ugonjwa uliokuwa ukiathiri kinga yake.

Siku ya Alhamisi Waziri wa Afya Mutahi Kagwe alima kwamba watu wengine wawili walipoteza maisha yao kutokana na maambukizi ya virusi hivyo.

Amesema kwamba idadi hiyo inaongeza idadi ya watu waliofariki kutokana na ugonjwa huo kufikia watatu. Kagwe ameongezea kwamba wagonjwa waliofariki wanatoka miji ya Nairobi na Mombasa.

======

Health CAS Mercy Mwangangi has announced that Kenya has 12 more Covid-19 cases.

This now brings the number to 122 cases. Out of these, 11 are Kenyans and one is Somali.

But she noted that Kenya has lost one other patient to Covid-19. A six-year-old boy with a pre-existing condition succumbed to Covid-19.

This brings the total deaths to four.

On Thursday, the government announced 29 new infections and two deaths, the biggest numbers since the first case of coronavirus was confirmed on March 13.

The government begun local production of face masks that will be distributed through the county governments and chairmen of boda bodas and matatus.

Tailors will also be allowed to make face masks from particular materials and are being advised to sell them at a cheap price.

The counties will hire 5,000 health workers in the next seven days beginning immediately.

Community spread is the cause of between 27 per cent to 36 per cent of Covid-19 cases, according to the Ministry of Health director-general Dr Patrick Amoth.
tanzania hakuna wagonjwa wapya kweli au mitambo imeharibika ?
 
Kumbe hata maana ya "shabaab" huielewi. Kikenya maana yake ni "barobaro", Hahahah kikundi cha vijana wadogo kinawahenyesha sijuwi mwaka wa ngapi huu? mpaka mnaota. Na bado, mpaka mtawaomba poo!

Hehehehe mamiii naona siku hizi unapandisha mzuka sana, ulikua umetulia tulia kuwasumbua wanaume JF, nilishakuambia usake Lisukuma fulani la mikoani lililoshiba mihogo na vyakula vya asili, uone litakavyochomoa mishipa na kukutuliza, huko Kariokoo kwa wapenda mdebwedo wa Dar hamna kitu, wakishavimbiwa chips mayai wanashusia beer, wakija nyumbani wanakoroma wakiwa juu yako, wanajisahau wapo kwenye mechi ya ndoa.
Ndio maana unasumbua sana kukesha kwenye mitandao ukivuruga wanaume humu. Kama vipi njoo hapa Kenya ukutane na omundu strong wa Kiluhya aka Wepukhulu, utaisahau Bongo.
 
Hehehehe mamiii naona siku hizi unapandisha mzuka sana, ulikua umetulia tulia kuwasumbua wanaume JF, nilishakuambia usake Lisukuma fulani la mikoani lililoshiba mihogo na vyakula vya asili, uone litakavyochomoa mishipa na kukutuliza, huko Kariokoo kwa wapenda mdebwedo wa Dar hamna kitu, wakishavimbiwa chips mayai wanashusia beer, wakija nyumbani wanakoroma wakiwa juu yako, wanajisahau wapo kwenye mechi ya ndoa.
Ndio maana unasumbua sana kukesha kwenye mitandao ukivuruga wanaume humu. Kama vipi njoo hapa Kenya ukutane na omundu strong wa Kiluhya aka Wepukhulu, utaisahau Bongo.
Daah
 
Hehehehe mamiii naona siku hizi unapandisha mzuka sana, ulikua umetulia tulia kuwasumbua wanaume JF, nilishakuambia usake Lisukuma fulani la mikoani lililoshiba mihogo na vyakula vya asili, uone litakavyochomoa mishipa na kukutuliza, huko Kariokoo kwa wapenda mdebwedo wa Dar hamna kitu, wakishavimbiwa chips mayai wanashusia beer, wakija nyumbani wanakoroma wakiwa juu yako, wanajisahau wapo kwenye mechi ya ndoa.
Ndio maana unasumbua sana kukesha kwenye mitandao ukivuruga wanaume humu. Kama vipi njoo hapa Kenya ukutane na omundu strong wa Kiluhya aka Wepukhulu, utaisahau Bongo.
Eti Al shabaab sasa hivi wana support ya serikali mpya ya Somalia iliyoundwa Nairobi?

Kimbembe!
 
Eti Al shabaab sasa hivi wana support ya serikali mpya ya Somalia iliyoundwa Nairobi?

Kimbembe!

Hehehe! Naona umepuuza ushauri wangu, haya mamii sina cha zaidi, nilikusudia kukupa dawa ya kukusaidia upunguze huo mzuka maana nijuavyo mwanamke akiwa na mzuka anaweza hata akakuua ikitokea wewe ni mwanaume legelege, hamuna break au uwezo wa kujizuia kama sisi wanaume, nakuhakikishia ukipata kitu cha mikoani haitokuja siku uzingue wanaume humu tena, utaheshimu kila dume.
Nawalaumu sana wanaume wa Dar kwa kukunyima haki yako, utasumbua sana watu humu, miaka yote hii hutulii mpaka unaitwa bibi na wajukuu lakin kila siku full mzuka, huingii hata menopause. Kuna yule Mkenya wa jamii ya Waluhya omundu strong anaitwa NairobiWalker alijaribu sana kukutongoza ila ukamgomea mpaka akapata ban.....dah!
 
Hehehe! Naona umepuuza ushauri wangu, haya mamii sina cha zaidi, nilikusudia kukupa dawa ya kukusaidia upunguze huo mzuka maana nijuavyo mwanamke akiwa na mzuka anaweza hata akakuua ikitokea wewe ni mwanaume legelege, hamuna break au uwezo wa kujizuia kama sisi wanaume, nakuhakikishia ukipata kitu cha mikoani haitokuja siku uzingue wanaume humu tena, utaheshimu kila dume.
Nawalaumu sana wanaume wa Dar kwa kukunyima haki yako, utasumbua sana watu humu, miaka yote hii hutulii mpaka unaitwa bibi na wajukuu lakin kila siku full mzuka, huingii hata menopause. Kuna yule Mkenya wa jamii ya Waluhya omundu strong anaitwa NairobiWalker alijaribu sana kukutongoza ila ukamgomea mpaka akapata ban.....dah!
Al shabaab imewafanya mpaka sasa imekuwa trend kuoana wanaume
kwa wanaume Nairobi.

s
pastor

Anglican gay priest has tied the knot with his long time Kenyan partner.
 
Al shabaab imewafanya mpaka sasa imekuwa trend kuoana wanaume
kwa wanaume Nairobi.

s
pastor

Anglican gay priest has tied the knot with his long time Kenyan partner.


Hehehe!! Haya mamii umeshinda nimekuacha maana hutaki utongozwe, endelea na hizo nyege labda ipo siku utapata dawa, tatizo sisi hatuna desturi kama ya wanaume wa Dar kutupiana maneno mengi na mwanamke, unachomeka dushe ghafla makelele yake yanabadilika miguno.
 
Back
Top Bottom