Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa #Corona na baadhi ya Wasafiri kushindwa kusafiri kurudi kwao, Tanzania imetoa muda wa nyongeza kwa wageni hao kukaa nchini
Wageni wote waliokuwa wanatarajia kuja na tayari wamepewa ‘Visa Grant Notice’ lakini ameshindwa kusafiri ameongezewa miezi mitatu kutoka muda wa Visa zao ulipoanza
Wageni ambao Pasi zao sa Kusafiria zimeisha muda au zinakaribia kuisha muda na hawawezi kusafiri kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa #COVID19, wanatakiwa kwenda Kituo Kituo chochote cha karibu cha Uhamiaji ili kuongezewa mwezi mmoja wa bure kwenye Pasi zao za kusafiria
Hata hivyo kama hali hii itaendelea baada ya kuisha kwa mwezi mmoja wa nyongeza, Wageni hao watatakiwa kufika katika Ofisi za Makao Makuu ya Uhamiaji yaliyopo Kurasini, Dar es Salaam
Kwa wale wenye Kibali cha Ukazi, Pasi ya Kusafiri ya Wageni, ‘Exemption Certificate’ na Dependant Pass ambazo zimeisha muda amepewa mwezi mmoja wa nyongeza kukaa nchini. Lakini muda huo ukikaribia kuisha wanashauriwa kufika Makao Makuu ya Uhamiaji
Aidha, wale wote wenye Kibali au Pasi ya Ukazi ambao tayari wameshakusanya nyaraka zao wanatakiwa kuripoti mara moja Makao Makuu ya Uhamiaji yaliyopo Kurasini Dar es Salaam
Wageni wote waliokuwa wanatarajia kuja na tayari wamepewa ‘Visa Grant Notice’ lakini ameshindwa kusafiri ameongezewa miezi mitatu kutoka muda wa Visa zao ulipoanza
Wageni ambao Pasi zao sa Kusafiria zimeisha muda au zinakaribia kuisha muda na hawawezi kusafiri kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa #COVID19, wanatakiwa kwenda Kituo Kituo chochote cha karibu cha Uhamiaji ili kuongezewa mwezi mmoja wa bure kwenye Pasi zao za kusafiria
Hata hivyo kama hali hii itaendelea baada ya kuisha kwa mwezi mmoja wa nyongeza, Wageni hao watatakiwa kufika katika Ofisi za Makao Makuu ya Uhamiaji yaliyopo Kurasini, Dar es Salaam
Kwa wale wenye Kibali cha Ukazi, Pasi ya Kusafiri ya Wageni, ‘Exemption Certificate’ na Dependant Pass ambazo zimeisha muda amepewa mwezi mmoja wa nyongeza kukaa nchini. Lakini muda huo ukikaribia kuisha wanashauriwa kufika Makao Makuu ya Uhamiaji
Aidha, wale wote wenye Kibali au Pasi ya Ukazi ambao tayari wameshakusanya nyaraka zao wanatakiwa kuripoti mara moja Makao Makuu ya Uhamiaji yaliyopo Kurasini Dar es Salaam