Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Kwema wakuu?
Hawa wawili ilikua wazichape Leo ukumbi wa PTA, pambano limeshindikana sababu Cheka anasema kapata ajali, amekuja na "hogo" mkono wa kushoto wakati anahojiwa na Mtangazaji Ahmed Ally wa Azam TV.
Issa Nampekeche anasema Cosmas hajapata ajali popote, ka fake ajali ili amkimbie. Cosmas anasema Issa analazimisha wapigane ili apate jina, apate hela.
Wametupiana maneno mwisho wakaamua kurushiana ngumi hapo hapo mbele ya Mtangazaji kabla ya kuamuliwa.
Hawa wawili ilikua wazichape Leo ukumbi wa PTA, pambano limeshindikana sababu Cheka anasema kapata ajali, amekuja na "hogo" mkono wa kushoto wakati anahojiwa na Mtangazaji Ahmed Ally wa Azam TV.
Issa Nampekeche anasema Cosmas hajapata ajali popote, ka fake ajali ili amkimbie. Cosmas anasema Issa analazimisha wapigane ili apate jina, apate hela.
Wametupiana maneno mwisho wakaamua kurushiana ngumi hapo hapo mbele ya Mtangazaji kabla ya kuamuliwa.