Si ajabu mtoa post ndio nampekeche mwenyewekavideo wapi mkuu...
Anapaswa kufungiwA huyo maana hana maadili ya kabisa kama bondia.Cosmas alipaniki mpaka karusha ngumi
Uncivilized kabisa, kasema amepata ajali alafu anarusha ngumi mbele ya mahojiano ya kawaida kabisa, je Nampekeche angemuumiza mkono wenye majeraha lawama zingerudi kwa nani
Yeah,Cosmas alipaniki mpaka karusha ngumi
Uncivilized kabisa, kasema amepata ajali alafu anarusha ngumi mbele ya mahojiano ya kawaida kabisa, je Nampekeche angemuumiza mkono wenye majeraha lawama zingerudi kwa nani
Atoe wapi nguvu alilala chini kama amefariki walioruka mateke wapambe wakeIssa alijibu kwa kumrukia kifuti (goti) Cosmas.