Cosota-hii ni sheria ipi?

MAKOLE

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
618
Reaction score
280
Kuna wadad wawili wamekuja wilaya ya Korogwe kukamata kazi za wasanii zinazoibwa, wamewakamata vijana wakodisha mikanda kwa kuwa tu wanazo kompyuta kwenye vibanda vyao, wamewatoza faini za laki 5 kila mmoja baada ya kuwaburuta mahabusu. kesi hii haikupelekwa mahakamani. Napenda kujua hili, ni sheria ipi kuwa ukikuta miziki kwenye kompyuta ya mtu ni kosa?
 
WANATAFTA HELA 2 au wameelekezwa tu huo ni utapelitu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…