Dollar hermees
JF-Expert Member
- Sep 14, 2013
- 517
- 1,045
Nimejaribu kuuliza watu mbalimbali kuhusiana na uwasilishaji wa mawazo ya biashara au ujasiriamali. Majibu niliopata ni nenda COSOTA.
Mtazamo wenu unasemaje kuhusiana na njia ya sajili na kuliendeleza wazo lako la biashara.
Pili COSOTA inaweza tusaidia kwa kiasi gani katika hili..
Huja elewa wapi mkuuHakuna Logical Connection kati ya Headline na Thread Content yako. Na ninajua hujanichanganya tu peke yangu bali wapo wengineo pia Ndugu.
Naelewa si ukisha jisajili nao lazima ulipie uwanachama wakoAo jamaa kila mwaka wanakuja kuchukua karibia laki Tatu kwenye biashara
Huja elewa wapi mkuu
Baba Ako
NotedKama umeshindwa tu Kuweka Headline vyema ili ilete maana sawia kwa Mtu kuweza Kukuelewa vyema utaweza kweli kunielewa na Mimi Ndugu?