Hicho ni ki swanglish babuSo utohozi haukubaliki.Hata nesi si sahihi muuguzi ndilo neno sahihi?
Kisw kigumu sana hakijawah kua rahisi kama mnayokochukulia ninyi!!So utohozi haukubaliki.Hata nesi si sahihi muuguzi ndilo neno sahihi?
Consult a Swahili dictionary. Stop spewing rubbish
Sasa hiyo kamusi si imeandikwa na nyie msiojua kiswahili sanifu? Kwanini uamue kujidadavua kwa kingereza chako chenye kila chembe ya umbumbumbu katika lugha... ongea kiswahili tuelewane, au ushaishiwa misamiati sasa kila kitu wewe watohoa lugha hii ni tajiri wa misamiati kuliko lugha yoyote ya asili uijuayoConsult a Swahili dictionary. Stop spewing rubbish
Kamusi yenyewe iliandikwa na wazanzibari na sio wadanganyika.Wadanganyika wangeandika kamusi au riwaya sijui watu wangekuwa wanasoma kiswahili gani,Sasa hiyo kamusi si imeandikwa na nyie msiojua kiswahili sanifu? Kwanini uamue kujidadavua kwa kingereza chako chenye kila chembe ya umbumbumbu katika lugha... ongea kiswahili tuelewane, au ushaishiwa misamiati sasa kila kitu wewe watohoa lugha hii ni tajiri wa misamiati kuliko lugha yoyote ya asili uijuayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Jane bado hujisomi weweKamusi yenyewe iliandikwa na wazanzibari na sio wadanganyika.Wadanganyika wangeandika kamusi au riwaya sijui watu wangekuwa wanasoma kiswahili gani,
Tafazari
Pahari
Bahali
Ziki badala ya dhiki na kazalika (kadhalika)
Acha ujinga!
We are working with Kenya on the Standard gauge rail and Tanzania ............ (he was talking about the recently revived meter gauge to Mwanza) but it never hurts to keep dreamingMuseveni: Uganda will work with both Kenya n Tanzania to build SGR
MY TAKE
After snatching a pipeline, Tanzania will go nusu mkate with Kenya on SGR! Who to blame over never ending discussion on Malaba-Kampala SGR that today no single inch is constructed!
From 7'02" he said to lower the cost of transport from the ocean, that one we r working with Kenya on SGR n Tanzania!We are working with Kenya on the Standard gauge rail and Tanzania ............ (he was talking about the recently revived meter gauge to Mwanza) but it never hurts to keep dreaming
Vipi ule mpango wa SGR yenu kufika Kigali bado hupo. Kuna ramani mlileta hapa, it was so sweetWe are working with Kenya on the Standard gauge rail and Tanzania ............ (he was talking about the recently revived meter gauge to Mwanza) but it never hurts to keep dreaming
Yaani upo mawaziri wanashughulika kabla ya June unakuwa-launched officially!Vipi ule mpango wa SGR yenu kufika Kigali bado hupo. Kuna ramani mlileta hapa, it was so sweet
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Mkuu hiyo ni habari nzuri, kwa bongo sasa hivi ni kazi kazi. Nilikua nataka kujua kwa Kenya maana kuna ramani walituletea wakapaza sauti kwamba lazima wafike Kigali, wabongo tumelala hatupo aggressive. Wao ndiyo mabingwa wa deal kali kali [emoji23]Yaani upo mawaziri wanashughulika kabla ya June unakuwa-launched officially!
Yes, thats's exactly what I said,From 7'02" he said to lower the cost of transport from the ocean, that one we r working with Kenya on SGR n Tanzania!
We are working with Kenya on the Standard gauge rail and Tanzania ............ (he was talking about the recently revived meter gauge to Mwanza) but it never hurts to keep dreaming
Kigali wanapokea mizigo chini ya tani millioni 1.5 hapo hamna biashara, labda wachanganye na Burundi na DRC...... Anyway, Kenya kufika Kigali italingana na matakwa na uwezo wa Uganda, Uganda ndo itachagua kuenda Kigali kwanza au South Sudan, kwasasa South Sudan ndo inachukua mizigo mingi kuliko Rwanda+Burundi kwahivyo naona Uganda itapendelea kwenda South Sudan mwanzo..Mkuu hiyo ni habari nzuri, kwa bongo sasa hivi ni kazi kazi. Nilikua nataka kujua kwa Kenya maana kuna ramani walituletea wakapaza sauti kwamba lazima wafike Kigali, wabongo tumelala hatupo aggressive. Wao ndiyo mabingwa wa deal kali kali [emoji23]
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
The idea ilikua Kigali kabla ya Sudan na ramani mli ileta hapa.. ofcoz ukifika Kigali Congo na Burundi ni zako.Kigali wanapokea mizigo chini ya tani millioni 1.5 hapo hamna biashara, labda wachanganye na Burundi na DRC...... Anyway, Kenya kufika Kigali italingana na matakwa na uwezo wa Uganda, Uganda ndo itachagua kuenda Kigali kwanza au South Sudan, kwasasa South Sudan ndo inachukua mizigo mingi kuliko Rwanda+Burundi kwahivyo naona Uganda itapendelea kwenda South Sudan mwanzo..
Hata hivyo Kenya inaeza ikachukua shortcut SGR ikifika Kisumu na bandari mpya ya Kisumu ikishajengwa, Rwanza wanaweza kupokea mizigo yao kupitia Lake victoria