Haya poa, naomba wadau wataalam tutaingia kwenye mahesabu. Maana hii ya Wabongo inagharimu 7bn$ kwa umbali wa 400km
Yetu umbali wa 609km, ujenzi wa vituo vya kisasa, madaraja marefu na ya kupitia juu, mabehewa na vichwa, na kuzingatia ugumu wa upatikanaaji wa ardhi Kenya vyote vimetugharimu $3.804b
Kuna uzi tulichemshana wakati Watanzania walianza na Wachina kabla ndoa kuvunjika baina yao. Nawasilisha, watu waje na mahesabu.
..Reli ni Dar-Isaka-Keza-Kigali-Musongati.
..Dar to Isaka ni 970 km. Reli mpya itajengwa parallel na reli ya zamani.
..Toka Isaka mpaka Keza ni reli mpya kabisa. Umbali ni 407 km.
..Keza to Kigali, reli mpya, ni 123 km.
..Keza to Musongati, reli mpya, ni 172 km.
..Now, here is the QUESTION: Kwanini hivi karibuni serikali inazungumzia 400 km badala ya 1377 km?
..Je, serikali imeamua kujenga kipande cha Isaka to Keza na kuachana na kipande cha Dar to Isaka?
Cc MK254, Geza Ulole
Muda mwingine Wakenya muone aibu kutumia lugha ya Kiingereza sio lugha yenu ni ya Wazungu!.
Sie Waswahili tunapeta na ya Kwetu- Kiswahili kitukuzwe!
Nafikiri hiyo 400KM ni kipande ndani ya Dar-Isaka, kama vile sisi tumefanya Mombasa-Nairobi, Nairobi-Naivasha, maana kama nimeelewa ni kwamba Magu aliamua kupokeza mradi kwa vipande na kwa wakandarasi tofauti.
Hiyo ni tofauti na alivyokua amefanya JK kuwaachia Wachina wapasue miamba kwenye 1,377km zote, japo Mchina alitaka mzingatie masharti yake, kwamba atoe hela yeye, ajenge yeye, na pia kwa sababu anaelewa render hivyo afanye operations za mwanzo yeye, na pia mumuhakikishie atapata vipi hela zake.
Kwetu sisi ilibidi tukubali masharti, japo kwa kuhakikisha tupo makini kwenye mahesabu. Sasa anatujengea reli mkondo wote. Japo Mchina kagoma kwa Museveni maana alitaka Kenya imhakikishie kwamba Museveni atalipa hizo hela, kwani Uganda hajakidhi vigezo vya kukopeshwa. Hayo yamerekebishwa hivyo Mganda ameanza kuchakarika.
Da Mkuu Bongo kuna kabila la wachina?Wewe sio mswahili? Ni mchina wewe?
Vipi mbona umeshtuka, we figure ulizoleta source ni nini?Tumesema lets citation wacha nyenyenye mingi.....mnaleta ma figure mumekarangia hapo ....alafu za kenya mnaleta official figures leta source
Soma vizuri bwana iyo twitter post awajataja kiasi ila wamesema itakuwa financed na turkey na 7bn ndo umekuwa cancel ajasema kuwa 400km utajengwa kwa 7bnHaya poa, naomba wadau wataalam tutaingia kwenye mahesabu. Maana hii ya Wabongo inagharimu 7bn$ kwa umbali wa 400km
Yetu umbali wa 609km, ujenzi wa vituo vya kisasa, madaraja marefu na ya kupitia juu, mabehewa na vichwa, na kuzingatia ugumu wa upatikanaaji wa ardhi Kenya vyote vimetugharimu $3.804b
Kuna uzi tulichemshana wakati Watanzania walianza na Wachina kabla ndoa kuvunjika baina yao. Nawasilisha, watu waje na mahesabu.
We pumbafu wacha uongo dola $7.6 ilikuwa kwa mradi mzima wa 1600km siyo sasa tutazijenga kwa nusu ya gharamaObviously, there must have been some crooks who beneffited in one way or another. Hamna jinsi hapa Afrika unaweza kufanya mradi wa $3.8b na usiliwe sehemu, hilo lipo na litakua hata Bongo. Hata Magufuli akiamua kukesha kwenye ujenzi na kuhesabu zege na kokoto. Pale pa tetemeko la ardhi juzi Kagera mumeliwa hadi hela hazikuwafikia walengwa, itakua kimradi kikubwa hivi.
Cha msingi ni kwamba, binafsi nikikokotoa na kudadavua gharama ya mradi wetu, nimeridhishwa na mahesabu, hata kama kuna sehemu tumetafunwa ni kidogo sana.
ambacho wengi husahau, kwa kenya, ndani ya hio $3.5B kuna $1.12B ambayo ni ya vichwa vya treni 54 na mabehewa zaidi ya elfu moja kwahivyo technically $2.6B for 609km.......We pumbafu wacha uongo dola $7.6 ilikuwa kwa mradi mzima wa 1600km siyo sasa tutazijenga kwa nusu ya gharama
Kenya 650km=$3.5bil
Tanzania1600km=7.6bil
Magufuli kasema hiyo $7.6 kwa 1600km tumepigwa gharama ya kujenga hizo km zote nikaribu nusu ya $7.6bil nadhani umeelewa
ambacho wengi husahau, kwa kenya, ndani ya hio $3.5B kuna $1.12B ambayo ni ya vichwa vya treni 54 na mabehewa zaidi ya elfu moja kwahivyo technically $2.6B for 609km.......
ile ya wthiopia walinunua treni kando, pia hio ya tanzania inakaa vivyo hivyo, pesa ni ya reli pekee na wala si treni.
Za abiria ndo hizo mbili zimewasili bado zengine tatu..... Zenu ziwapi? Bado mpo kwa loan signing hata hamjaingia kwa contract signing Na kampuni, bado hata designKwenye vichwa vya Treni nawe utaleta vile!!
hahaha!!
Nice...nataka kuona comments za watu sasaZa abiria ndo hizo mbili zimewasili bado zengine tatu..... Zenu ziwapi? Bado mpo kwa loan signing hata hamjaingia kwa contract signing Na kampuni, bado hata design
View attachment 464574 View attachment 464575
Hahaha D!!Za abiria ndo hizo mbili zimewasili bado zengine tatu..... Zenu ziwapi? Bado mpo kwa loan signing hata hamjaingia kwa contract signing Na kampuni, bado hata design
View attachment 464574 View attachment 464575
Za abiria ndo hizo mbili zimewasili bado zengine tatu..... Zenu ziwapi? Bado mpo kwa loan signing hata hamjaingia kwa contract signing Na kampuni, bado hata design
View attachment 464574 View attachment 464575
Saafi sana nduguThis is a very impressive thing, I like the way JPM handled this,
Siri ya Mafanikio ni Kujiamini tu, Usipojiamini hakuna atakaekuamini.
When it comes to our National interests, We must be the one to decide, African countries need to learn this.
Hahaha D!!
Ukinyimwa aibu hujakamilika kabisa
Mnapo tangulia mnapaswa muonyeshe wenzenu kuwa mmefanya vitu vipyaaa!!
Ethiopia mradi wa 2008
Hahaha D!!
Ukinyimwa aibu hujakamilika kabisa
Mnapo tangulia mnapaswa muonyeshe wenzenu kuwa mmefanya vitu vipyaaa!!
Ethiopia mradi wa 2008
Haya cheki Morocco
Hatuwezi kujifunza kwenu kamwe!!
jana Zimbambwe wamekuja kujifunza kwetu kuhusu BRT
lakini kamwe kwa upuuzi huu
hatuji kujifunza ng''oo[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hahaha D!!
Ukinyimwa aibu hujakamilika kabisa
Mnapo tangulia mnapaswa muonyeshe wenzenu kuwa mmefanya vitu vipyaaa!!
Ethiopia mradi wa 2008
Hahaha D!!
Ukinyimwa aibu hujakamilika kabisa
Mnapo tangulia mnapaswa muonyeshe wenzenu kuwa mmefanya vitu vipyaaa!!
Ethiopia mradi wa 2008
Haya cheki Morocco
Hatuwezi kujifunza kwenu kamwe!!
jana Zimbambwe wamekuja kujifunza kwetu kuhusu BRT
lakini kamwe kwa upuuzi huu
hatuji kujifunza ng''oo[emoji85] [emoji85] [emoji85]