Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Stop being too pedantic,

Coodip 1 has given you the answer, umeshaiosoma?


Sisi tutanunua mchanganyiko wa pure electric trains and hizo dual mode electric/diesel trains as mentioned by coodip1 below:

View attachment 1142849

Soma tuu hayo maelezo ya locomotives with duo power ujielimishe kdg uache ubishi
 
SGR NI ya mchina. Unashangilia wakati upati chochote hapo,zaida ya kuona
 
Kwn si bullet train tena...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwa akili yako kuna locomotive ambayo ni bulllet au unachanganya madesa. Bullet trains ni kwa passengers mostly and not necessarily zivutwe na locomotives but inakuwa EMU
 
Kwhyo bado mnaleta burret turein...au mipango ikoje
Kwa akili yako kuna locomotive ambayo ni bulllet au unachanganya madesa. Bullet trains ni kwa passengers mostly and not necessarily zivutwe na locomotives but inakuwa EMU
 
Na nani? Kukopa kufinance bloated budget at 30% na receiving a budget support at 8%, which one is better among the two?
[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]lazima mpewe ufadhili kw sababu nynyi ni maskini
 
Kinyerezi 1 extension 185MW to be completed this year...most of its power is for the SGR
 
Kazi ya stations na sustations za umeme inaendelea na mkandarasi mwingine siyo yapi. Kuna kituo kinajengwa kila baada ya kms 50. Kama huwa unaziangalia vizuri monthly progress videos za yapi, huwa kuna vituo vinaonekana upande wa kulia wa reli.
Hizo substations na kila kitu chake ni Kwa minajili ya kudistribute stima Kwa SGR .... Nilichokua ninakiongelea ni usambazaji wa stima kutoka Kwa power plant Hadi Kwa SGR Substations
... Kumbuka stima inayosambaziwa wananchi ndo ile ile itakayoelekezwa Kwa SGR ...... Ikipotea kutoka Kwa power plant hakuna lolote ambalo miundombinu ya SGR inaweza fanya, TANESCO ndo kampuni itakayohusika na kuhakikisha Stima ya kwenda kwa SGR haikatiki ... Je TANESCO wamefanya nini kuhakikisha stable supply ya stima Kwa SGR manake wanahitajika kusambaza stima bila kufeli... Yani 99.9% availability
 
Ukitamka neno stima najiskia vibaya hebu jifunze kuita umeme bwana
 
Hivi unajua hizo stations zina standby generators incase of power outage!
 
Ukitamka neno stima najiskia vibaya hebu jifunze kuita umeme bwana
Sisi hatusikii vibaya mkitumia neno shoga kumaanisha rafiki .

Stima huku kwetu ni sawa kabisa, tena usisahau lahaja ya kimvita ni kubwa kuliko yoyote ya Kiswahili cha Tz
 
No chinese didn’t overcharge us, wanasiasa wetu waliongeza figures tu alafu wakaiba za juu, washenzi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…