Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Sisi hatusikii vibaya mkitumia neno shoga kumaanisha rafiki .

Stima huku kwetu ni sawa kabisa, tena usisahau lahaja ya kimvita ni kubwa kuliko yoyote ya Kiswahili cha Tz
Hamna mwanaume anaita rafiki yake shoga!
 
Hamna mwanaume anaita rafiki yake shoga!
Zile movie zenu za kitanzania hilo neno hutumika sana ...
Na kama unasema hamna mwanamme anatumia neno shoga inamaanisha mwanamke akitumia ni sawa?
 
SGR Mombasa - Nairobi na pia mpaka Naivasha pia

Mombasa station













Nairobi Station









 
A look at Ethiopia SGR and skills transfer















I thought Ethiopia SGR was continuously wielded, hapa kwa hii picha ya chini naona Jointed with fishplates






 
SGR ikikatiza bomet,kericho county...kutakuwa na views za nguvu sana.....greeeeeeeeen farms
 
Mbona sioni zile stations za gorofa tuliambiwa?
Uliambiwa station za ghorofa zitajengwa wapi na wapi? Umefatilia ukaona zinajengwa bungalow kwenye location husika? Kweli kila siku kuna kituko kipya Afrika! Uwe unaangalia zile progress video za yapi merkezi you tube.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…