Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

TAZARA haina train kama hizo sasa! Most of engines r American made!
 
TAZARA haina train kama hizo sasa! Most of engines r American made!
But you had those trains in the beginnig, Infact wewe ushawahi kuleta picha kama hio ukasema eti train za Kenya ni za 1970s zilizotumika kwa Tazara ya kitambo kwasababu eti zimefanana
 
kwa kusema ukweli reli ya kenya na steheni zao ni za hali ya juu sana ila hizo trni kwa kweli wameingizwa mkenge,hazifanani na hadhi ya stesheni walizojenga
Hapo wameambulia station hakuna cha reli wa treni zote wamelishwa matango poriπŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…