SGR hamjamaliza ulie usilie
Je Sgr Kenya imeisha kama walivyo planHivi kwa Nini sgr ya Tanzania haiishi??
Hii kukwama kwama inairudisha jumuiya ya Afrika Mashariki nyuma kimaendeleo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naivasha SGR imeisha?SGR hamjamaliza ulie usilie
Hapo uko na point, ingawaje unajua sio kila mtu atafika dakika 5 kabla treni inondoke, mimi nimeshuhudia watu wengi sana wakiachwa na treni na walifika dakika kumi kabla treni iondoke, Si unajua vile tuna dili na alshabaab huku? Utapitia security check points kama nne hivi kabla uingie ndani ya stesheni, ya kwanza unaangaliwa kitambulisho au pasport kama wewe uko kenya kihalisi, ya pili unapanga mizigo kwa sakafu alafu umbwa ana nusa nusa, alafu baada ya hapo unaenda kwa ofisi ya tiketi, unatumia 'code' ulio tumiwa kwa simu wakati uli book safari kwa mpesa ussd au mtandaoni, hio code ndo unatumia ku chapisha ticketi yako kutoka kwa automated ticketing machine, alafu ndo sasa unaeenda kwa security checkpoint nyengine ambapo mizigo itafanywa x-ray scan alafu we mwenyewe utafanyiwa search juu hadi chini... pia utaambiwa utoe kitambulisho pamoja na ticketi walinganishe kama jina kwa kitambulisho na kwa tiketi linafana kwasababu hauruhusiwi kutumia ticheti ya mtu mwengine....baada ya hapo ndo unaingia mahali pa kukaa........kabla kuingia kwa treni yenyewe bado tena utaitishwa uonyeshe tena ticketi yako.... Kumbuka kama mko wengi, hio line ya security pekee itakuchukua kama 20-30 minutes! Alafu unaelewa vile waafrica tunapenda kuchelewa kwahivyo nyote mtapatana hapo kwa gate dakika ya mwisho .... Kwahivyo ili usichelewe, panga kufika kwa stesheni angalau lisaa limoja kabla.
Anyway, stesheni yoyote ya abiria iwe in airport,train station, bus station, capacity yake hua inapigiwa hesabu kulingana na maximum throughput.... Yani hauangalii best case scenario, unaangalia worst case... Ni abiria wangapi wanaeza pitia hapo na wafanyiwe kila kitu kwa dakika au lisaa limoja au kwa siku nzima.... Kutoka hapo sasa ndo anaeza ukapiga hesabu za abiria wa ngapi kwa mwaka... Kwa mfano kwa stesheni ndogo za Kenya ile ndogo kabisa zinaweza kuhudumia abiria 300 kwa siku. na zile kubwa kubwa kidogo kama Voi na mariakani maximum kwa siku ni abiria 600.... Hio ndo nambari ya wateja wanaotarajiwa mwaka wa 2035...
hio maximum capacity hawakuiokota tu, walichukua data ya kutoka kwa reli ilojengwa na mkoloni na uhusiano wake na ukuaji wa miji kama Voi, Nakuru Eldoret iliopanuka kwasababu ya reli, alafu waliangalia intergrated economic plans za kila county ambapo SGR itapita, tena wakapiga hesabu za economic potential za hizo county.. Kwa mfano ukosoma hizo feasibility studies na ESIA reports utapatahesabu za mambo mengi sana...
Kwa mfano hii hapa inaangalia economic returs za route tofauti ambazo SGR ingepitia
View attachment 1353180
Yes imeisha na ikazinduliwa. Nyinyi ata phase one [emoji1787][emoji1787]Naivasha SGR imeisha?
Kama imeishia hapo porini, Hongereni 😂😂😂Yes imeisha na ikazinduliwa. Nyinyi ata phase one [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
I don't know what you wanted me to see there but , that document you have given is a summary of the ESIA full report which I have been using...
To cut this argument short, Uganda's electric SGR includes the cost of the TL plus locomotives. Now, when you are comparing the costs of building the UG vs Tz rail, do you think it would be fair to exclude adding the costs of associated facilities for the TZ line???
Here is the so called new updated documentNope, it is not the same document!
What geza is showing you is a exctract from an updated version of non technical EISA dated August 2019. On the other hand all of your arguments are based on an old draft EISA document dated 2019.
We have been telling you that, the initial documents on Yapi's site were not final. I guess now you will start to listen...
Sent using Jamii Forums mobile app
Here is the so called new updated document
View attachment 1354401
And here is the so called old ESIA report that I have been using
View attachment 1354404
Now, can you tell me what the new document is saying that the old one didn't already say!?
Hivi ni vitu hawezijua upeo wake mdogo sana!Just FYI there is also an updated version of the ESIA report.
... Now comming back to your question, the difference btwn the 2 set of reports is a section detailing how TANESCO will be involved in building and running the SGR TL and the description of the TL as an associated facility to the project as per the IFC. You will find that particular description at the footnote of the updated report....
Sent using Jamii Forums mobile app
Discuss Issues like you mean to discuss them, not try to drag the topic by not saying anything substatial... Both documents describe what an associated facility is...... But that is not the main issue, the main issue was who was paying for the TL, it is still TANESCO! now do you want to deny that???Just FYI there is also an updated version of the ESIA report.
... Now comming back to your question, the difference btwn the 2 set of reports is a section detailing how TANESCO will be involved in building and running the SGR TL and the description of the TL as an associated facility to the project as per the IFC. You will find that particular description at the footnote of the updated report....
Sent using Jamii Forums mobile app
a reason unit cost of electricity is way high! And nothing to show about in comparison to Tanesco that has major projects aside HP btn Tanzania n Uganda there is one btn Tanzania n Rwanda n Burundi, about 5 Transmission lines aside JNHPP while Kinyerezi phase II n III loading!Discuss Issues like you mean to discuss them, not try to drag the topic by not saying anything substatial... Both documents describe what an associated facility is...... But that is not the main issue, the main issue was who was paying for the TL, it is still TANESCO! now do you want to deny that???
Even the old document has all those descriptions
View attachment 1355327
And just incase you aren't caught up with the description of associated facilities even the building and equipping of the train maintenance workshops are associated facilities from Yepi's point of view because they are not part of their contract and they are not responsible for that even though without the Associated Facilities the SGR project would not be viable. One could even say the trains and wagons can also fall under such a definition, the only reason why they are not mentioned as AF is because Yepi works for TRC and TRC has influence over buying and running the trains... Do you want us to count the trains out too when we want to know the total cost of your project?
------
If I understand you correctly, essentially what you are trying to differentiate is that associated facility (I will call it AF) is not supposed to be part of Yepi contract. right? Well that's a matter of what you choose to define as AF within your country... Uganda's TL for their electric SGR is part of the contract cost because they chose to define it as part of the project.....
A good example is like how in Tanzania TANESCO is responsible for generating, Transmitting and Distributing of electricity.... While in Kenya its different... Kengen is the one that builds and owns all power plants, Kentraco is the one that builds and owns transmission lines in Kenya, while Kenya Power KPLC is the one that is responsible for last mile distribution of electricity to homes.... If you want to build a power plant in TZ, you will need just one contract/budget , TANESCO will build the plant, build the transmission line and distribute the power to people, but in Kenya, Kengen will build the plant, sell the power to KPLC and then ask Kentraco to build a high voltage transmission line to bring the power closer to its sub-station so that KPLC can distribute the power to homes...{KPLC will pay Kengen and Kengen will pay Kentraco for using its TL network even though they are all government companies Kenya Power pays KenGen Sh18.5bn in four months} ..... So, if TANESCO was building a new plant.... Transmission lines and distribution lines are just part of the project, but if Kengen was building a new plant, then transmission lines and distribution network are Associated Facilities.
But do you think it would be fair to you if when calculating the costs of building a new power plant in Tz vs Kenya, we should take the cost quoted by TANESCO (which would include everything including TL) VS the cost quoted by Kengen (which excludes the costs of other associated facilities e.g TL, substations, Transformers etc) ???? The right comparizon would be to compare the cost quoted by TANESCO VS cost quoted by (Kengen+Kentraco+ KPLC ) for the same project...
I hope you got the point.
treni zimewasili nn?Nasikia mizigo mizito ya SGR inashushwa kwa speed bandarini... shughuli zimesimama kwa muda. Hapa kazi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunasubiri updates mkuuNasikia mizigo mizito ya SGR inashushwa kwa speed bandarini... shughuli zimesimama kwa muda. Hapa kazi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia mizigo mizito ya SGR inashushwa kwa speed bandarini... shughuli zimesimama kwa muda. Hapa kazi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
BTW phase III is to be launched soon!