Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #7,561
confirmed?
mbona wanafanya siri mno? Tatizo nn? Mbona ndege walikuwa wanatangaza?bado za chini chini [emoji1]
mbona wanafanya siri mno? Tatizo nn? Mbona ndege walikuwa wanatangaza?
mbona wanafanya siri mno? Tatizo nn? Mbona ndege walikuwa wanatangaza?
Key word bieng, ikikamilika,Anhaa kumbe co 202km ni 205km pia ikikamilika itafika 1231km aisee ndefu sn comparing with Kenya sgr which is only around 400km[emoji122][emoji122]
Hebu nielezee vipi reli za Kenya hupishana?U make that claim since Mchina hakujenga parallel line ili kuruhusu kupishana!
Zinangojeana vituoni nipe evidence ya 50 km of a parallel line outside the stations!Hebu nielezee vipi reli za Kenya hupishana?
Geza, sijui hua unakula nini. hua unapenda kujichanganya sana........track length SGR Phase I ni 300 km! kuna parallel track of around 95 km to allow the trains to bypass each other! Pia SGR Phase II there is over 86 km of a parallel line too!
View attachment 1493713
View attachment 1493714
https://news.kotra.or.kr/common/extra/kotranews/globalBbs/383/fileDownLoad/59645.do
Morogoro - Makutupora Railway
wahivyo kesho ukiona mtanzania mwenzako bado anadai eti Dar-Moro ni over 300km mwambie its only 205km , hio over 300km ni ukchanganya track length yote ambayo imejumlisha loop lines(ili treni mbili ziweze kupishana), branch lines za kwenda vituo vya mizigo, abiria..etc
Na hapo kituoni zinapishana vipi?Zinangojeana vituoni nipe evidence ya 50 km of a parallel line outside the stations!
Soma tena nilichoandika naona kiswahili kimekutupa!Na hapo kituoni zinapishana vipi?
Zinangojeana vituoni nipe evidence ya 50 km of a parallel line outside the stations!
U make that claim since Mchina hakujenga parallel line ili kuruhusu kupishana!
Soma tena nilichoandika naona kiswahili kimekutupa!
Noted.Nilikua nataka ujibu swali ... Unajua sometimes mwanafunzi akiuliza swali la kijinga, we kama mwalimu inabidi umuulize huyo mwanafunzi maswalli kadhaa alafu katika yale majibu huyo mwanafunzi atajikuta kumbe amejijibu mwenyewe!
Kwenye hizo stesheni za Kenyakuna loop lines ambapo treni zinapishana,
Tanzania hamna double track (parallel lines), mko na hizo loop lines na station sidings ambapo treni zinapishana kama sisi ! Ile screenshot ulio ileta mwenyewe inayasema hayo kabisa!
View attachment 1495085
And FYI, Kenya SGR from Nrb-Msa kuna 9 passenger stations, but outside hizo stations kuna about 31 points ambako kuna loop lines ambazo zinaruhusu treni kupishana, so in total there are about 40 different places within the route ambako treni zinaweza kupishana
Nilikua nataka ujibu swali ... Unajua sometimes mwanafunzi akiuliza swali la kijinga, we kama mwalimu inabidi umuulize huyo mwanafunzi maswalli kadhaa alafu katika yale majibu huyo mwanafunzi atajikuta kumbe amejijibu mwenyewe!
Kwenye hizo stesheni za Kenyakuna loop lines ambapo treni zinapishana,
Tanzania hamna double track (parallel lines), mko na hizo loop lines na station sidings ambapo treni zinapishana kama sisi ! Ile screenshot ulio ileta mwenyewe inayasema hayo kabisa!
View attachment 1495085
And FYI, Kenya SGR from Nrb-Msa kuna 9 passenger stations, but outside hizo stations kuna about 31 points ambako kuna loop lines ambazo zinaruhusu treni kupishana, so in total there are about 40 different places within the route ambako treni zinaweza kupishana
We kichwa maji unadhani treni zinapishana kama gari pale tandale?sijui mambo ya loop lines! ila loop lines ni nn? na hii kwenye pic nimepost ni nn? na wala sio karibu na kituon hapo
waweza kuingia youtube uangalie distance ya 102-106 km
nasubir majibu uniambie hii kwenye pic ni loop lines or parallel lines au ni nn!
View attachment 1495193
We kichwa maji unadhani treni zinapishana kama gari pale tandale?
Si nyinyi ndo mlisema train zenu zitakua 5km long no wonder the Long loop lines.
102-106 si ni 4km hio double track si ndo yakupishana.point yako ni nn hapa?
on the other hand, treni zina urefu wa 2km, otherwise onyesha proof kama mtu alisema treni zina urefu wa 5 km! najua hutopata hii!!