Unadhani miaka 50 ijayo na wao watakua na mawazo hayo hayo?Mchina alijenga kwa mkopo na deni lilishaisha. Tanzania ndio nchi ya kwanza Afrika Mashariki na kati kujenga reli yake baada ya mkoloni kuondoka.
Unaonesha huna upeo mkubwa, sio nchi zote duniani zinatumia SGR. SGR ni 55% ya reli zote duniani. Wakati wa ubora wake TAZARA ilikuwa na ufanisi mkubwa kuliko sasa hivi. Hata baada ya miaka 50 SGR ya Kenya haitakuwa na ubora kama wa sasa.
Zambia : TAZARA reaps US$13 million profit
Hoja hapa sio wanazo ngapi zinafanya kazi hapana ni jitihada wanazoonyesha. Dar Klm mpaka arusha vp ipo?Reli yao waliojengewa na mkoloni mbona imewafia.
Hoja hapa sio wanazo ngapi zinafanya kazi hapana ni jitihada wanazoonyesha. Dar Klm mpaka arusha vp ipo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hakuna anayebeza ila ni ktk kuweka mambo sawa mwenzako anapofanya jambo jema unajifunza. Tuliyojenga ipi yenye Ubora huo.Jitihada gani wamefanya? Huku kwetu tukijenga mnabeza. Punguzeni upinzani kwenye maendeleo ya nchi yenu.
Mkuu hakuna anayebeza ila ni ktk kuweka mambo sawa mwenzako anapofanya jambo jema unajifunza. Tuliyojenga ipi yenye Ubora huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lile salio tunalotafuta ili ifike mwanza limepatikana?Mradi wetu wa SGR ya umeme umeanza na sasa awamu ya kwanza, Dar-Moro inaendelea. Mnataka miujiza gani?
Sawa mkuu kila la kherBado jitihada zinaendelea, sasa hivi mazungumzo ya awamu ya pili, Moro-Makutupora yanaendelea. Siku si nyingi tutapata mrejesho.
tunataka mapicha ya mradi sio sinema za bongo😀First phase. DAR ES SALAAM -MOROGORO is U/C, See the first section that is U/C on the map below
and the entire Project below
tunataka mapicha ya mradi sio sinema za bongo😀
Tunajua picha zitakuja ujenzi ukianza, lakini mngeounguza kidomo domo kingi mpaka muanze ujenzi wa reli yenyewe alafu ndo muonge mtakavyo, kwa mfano angalia hii mada, imefika ukurasa 43 hakuna hata picha moja inaonyesha reli ya Tz! Ni mdomo tu, tulieni kwanza, meongelea sana hii reli yenu mpaka picha zikianza kuja ntakua hamna la kuongea itabidi muanze kujiregelea...Siku si nyingi utaanza kupata picha. Mradi wetu ni 'design and building' kwa hiyo hatua za awali zilikuwa ni kufanya 'detailed design'.
Wewe ni Mpumbavu mwingine, huna knowledge zaidi ya kurukia rukia visivyohitajika,
Jibu hoja ww Bwege wa kiwango cha PhDWewe ni Mpumbavu mwingine, huna knowledge zaidi ya kurukia rukia visivyohitajika,
Hebu puuzeni hili kubwajinga.
Na hii ndiyo inafanya Mimi nisiwaamini wapinzani wa nchi hii.
Hoja gani umeleta hapa? You are just uninformed,
Good thing ni kuwa Reli iliyopo itatumika kusurply the requirements during construction, hivyo haihitaji kujenga barabara pembeni mwa Reli. Very cost effective.UJENZI SGR SAMBABA NA RELI ILIYOPO
SOURCE- TWITTER