Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Hio inaonyesha kwamba Kenya tuna uwezo wa kuservice na kumaintain ndege kwa miaka mingi. Halafu Airforce ya Kenya ina helicopters zaidi ya 30 na karibu zote zimenunuliwa since 2011. Kwanza tuna MD-500 nyingi sana.
Hata nafikiri Kenya Police wana helicopter nyingi kuliko the entire TPDF!
 
Hio inaonyesha kwamba Kenya tuna uwezo wa kuservice na kumaintain ndege kwa miaka mingi. Halafu Airforce ya Kenya ina helicopters zaidi ya 30 na karibu zote zimenunuliwa since 2011. Kwanza tuna MD-500 nyingi sana.
Of course mitumba usitake niweke evidence zinavyodondoka na kuua!
 
wakati mwingine msisababishe watu kufungua mafaili yenu mna midege mingi mibovu na mikuukuu! kuanzia KDF kuja Police kuja ndege za Rais!
TPDF doesn't even come close to KDF interms of aircraft! size yenu ni Rwanda nyinyi.

KENYA - KDF has a total of 150 Aircraft including 79 helicopters







While TPDF has a total of only 34 active military planes



This is not even a competition, this is total dominance!



Source: World Airforces 2020 https://www.flightglobal.com/reports/world-air-forces-2020/135665.article
 
Out of those 34 aircraft, helicopters are only four
 
mitumba sio?
You can only dream of reaching our levels of maintenance !

Alafu BTW Helicopter inayotumika na UK ni mpya, AW139 mbili zimeingia Kenya mwaka huu na nyengine moja inatarajiwa mwaka ujao.



Na zile C-27J tatu ambazo kwasasa zinapeleka chakula na madawa kule Mozambique pia zimeingia mwaka huu.... Kwahivyo ndege tano mpya zimeingia KDF mwaka huu pekee!!!


Kenya Airforce delivering food aid and medical supplies to Mozambique's Cabo Delgado province to a refugee camp of IDPs displaced by an ongoing insurgence by jihadist .









Alafu kumbuka kwa lile jedwali Kuna ndege angalau 13 ziko on order in Kenya






Wakati Tanzania hamna order zozote za ndege mpya kwahivyo tutarajie mwaka ujao mtakua na ndege zile zile. no new ordered aircraft!
 
You dont retire your aircrafts?
There are plenty of retired aircrafts in Kenya... After they served to their full life-span or they crashed. We have never retired aircraft because it was not airworthy due to lack of maintenance.
 
Uhuru anatumia fokker kama hii!


Kama zinazotumiwa na baraza letu la mawaziri



BTW, Unajua hio Fokker ya Uhuru inakua maintained na technitiancs wanawake!

Watch from 3:28



Alafu ucheki hii nayo ya Kenya Police
 
endeleeni kujidanganya na hivyp vitakwimu uchwara[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
endeleeni kujidanganya na hivyp vitakwimu uchwara[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ss na cc tukiamua kujumlisha na vindege vilivyopigana Vita ya Idd Amini c itakuwa noma, mana watu wamejumlisha mpk F5 nimecheka sn[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
endeleeni kujidanganya na hivyp vitakwimu uchwara[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wacha kuzika kichwa ndani ya mchanga, huu ndo ukweli wa mambo braza

Hebu tufanye test kidogo, Hapa unaona helicopter ngapi?
HApo ni Helicopter 6 zilizowasili Kenya Januari mwaka huu... Kuna zengine sita ziko kwa future order


WASHINGTON, May 2, 2017 - The State Department has made a determination approving a possible Foreign Military Sale to Kenya for MD 530 aircraft. The estimated cost is $253 million. The Defense Security Cooperation Agency delivered the required certification notifying Congress of this possible sale.

The Government of Kenya has requested a possible sale of twelve (12) MD 530F weaponized aircraft to include twenty-four (24) Heavy Machine Gun Pod (HMP) 400 systems; wenty-four (24) M260 rocket launchers; four thousand and thirty-two (4,032) M151 rockets; one thousand five hundred and thirty-six (1,536) 2.75-inch M274 smoke signature warhead rockets; and four hundred thousand (400,000) rounds of .50 caliber ammunition. Also included are communications and navigation equipment, contractor logistics support, training, U.S. Government technical assistance, airframe and weapon system spare parts support, Contractor Field Service Representative (CFSR) support, and Special Assigned Airlift Mission (SAAM) flight delivery support. The total estimated cost is $253 million.

This proposed sale contributes to the foreign policy and national security of the United States by improving the security of a strong regional partner who is a regional security leader, undertaking critical operations against al-Shabaab, and a troop contributor to the African Union Mission in Somalia (AMISOM).

-------------------------------------------------------------------------------------


JE hapa unahesabu ngapi???




Hizo ni Helicopter 6 zengine za Huey II, kuna zengine mbili ziliongezwa baadae zikawa nane...

--------------------------------------------------------------





Hapa Nnapo pana helicopter nane 8 zengine za Fenec light attack and reconnaissance aircraft








Hizi pekee ni Helicopter tumepokea kati ya 2018-2020.
6 + 8 + 6 = 20

Hizo ni helicopter ishirini tumepokea ndani ya miaka mitatu! Amka wacha kulala, wewe ndo wajidanganya na kuamini eti Tz inaweza kushindana na Kenya kwa mambo kama haya! Kwenye sector ya aviation in general, Kenya iko mbali sana ukilinganisha na Tanzania.
 
Ss na cc tukiamua kujumlisha na vindege vilivyopigana Vita ya Idd Amini c itakuwa noma, mana watu wamejumlisha mpk F5 nimecheka sn[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahaha jamaa unajaribu kujiliwaza, Uganda pia walipigana hivyo vita na kumbuka hao ndo walishindwa, Uganda walipoteza four Mig-21s, wakati nyinyi mlipoteza moja mlipoipiga kombora wenyewe baada ya kufikiria ilikua ndege ya Uganda (Hii inaonyesha mlikua hamra radar coverage )lakini sahii Uganda wako na ndege nyingi kuwaliko nyinyi mlioshinda vita hivyo 😂😂😂 yani kwa kifupi, you are a disgrace to your former self.
If your today-self went to war with your former-self, the former would win easily!
 
BTW, Unajua hio Fokker ya Uhuru inakua maintained na technitiancs wanawake!

Watch from 3:28



Alafu ucheki hii nayo ya Kenya Police
wawe wanaume ata watoto the fact is fokker ni ndege outdated!
 
wawe wanaume ata watoto the fact is fokker ni ndege outdated!
Actually I'm not surprised that Tanzania only have 34 military aircrafts because they are among the poorest 25 countries in the world
 
Natamani japo siombei iwe hivyo, mjichanganye siku moja kwa Tanzania taifa kubwa alafu mtajua kwmb cc ni kina nani linapokuja suala la jeshi imara, ivyo vindege visikudanganye hata kdg, tz mambo yake mengi yako hidden sn huwezi kujua kirahisi.

Kwa mfano nmeona umepost ki article kikionesha tpdf ina ndege 34 ukadhani ni kweli hahahaha unajidanganya sn, mfano kuna helicopters za kisasa Airbus mpya 13 hapo zimefichwa wameweka 4 pekee unajua kwnn?

Ukitaka kujua uliza kwa kina Idd Amini dada nao walijiongopea hvyo hvyo baada ya kuona wana nguvu ya Gaddafi nyuma wakadhani wataipiga tz nadhani kwenye history umesoma kilichomkuta.

Tz ina history ya kushinda vita co tu kwa Uganda pekee refer to our Foreign minister Mr. Kabudi.

Btw, na argue na mtu ambaye nchi yake haina history ya kushinda vita hata moja zaidi ya kupiga na kuonea wananchi na kuiba mikate, nitajichosha buree [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Omba mechi na tz af ndo utajua hujui, kdf inashindwa kumtuliza mtoto mdogo Al shabaab ndo mnataka kujilinganisha na taifa kubwa? Mngelikuwa na adabu tungelikuja kuwasaidia kuwatuliza hao watoto wanaowasumbua kila kukicha lkn mnajifanya mnajua kaka yenu tunawaacha tu, kule msumbiji walianza kuleta choko choko wanaume wameenda now hutasikia choko choko tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…