Kafrican amekujibu kwa evidence halafu umeanza tabia ya kihuni ya kuhamisha goal- post. Ndio maana huwa siargue na Watanzania wazimu kama wewe.
kwa evidence gani alizotoa ,,za link ?...nawe unaanza kuchanganyikiwa,,,,
ni ivi ishu za kijeshi wenye evidence ni wahusika na siyo jitu binafsi ambalo hata halijui principle za jeshi wala maana ya jeshi,,,,,
ndiyo maana nikamuuliza amewahi kutembelea hizo kambi na akahesabu na kujihakikishia kuwa hivyo vifaa vya kijeshi vipo kweli kiidadi,anakuja analeta link ambazo hata wewe au mimi naweza kuanda site yangu,,,,,
muache ujinga ishu za kiintergensia hatuwezani zaidi ya kutaka kujifurahisha,jeshi siyo duka la nguo analomiliki mtu binafsi kusema kwamba unajua stock ya mzigo wako,,,,,,
mtoto uliyemzaa kwa damu tu tabia yake tu mtu humjui kiundani sembuse jeshi ,,,,,,,tena la nchi ambayo huijui,,,,,acheni ujinga