Hahahahaaa hii msg i copy uiweke kule kwenye uzi wetu pendwa mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Merry Christmas to you all in this forum. Big up kwenu Wabongo mnaoipenda nchi yenu. Big up kwenu majirani zetu hapo juu. Kuelekea mwaka mpya tunawakumbusha kuanza kufungasha kila kilicho chenu. Twenty twenty five siyo mbali sana tutakapokuwa tumewapiga gap kiuchumi. Anzeni mapema mazoezi ya kukaa back bencher.
Uzi upi huo The best 007Hahahahaaa hii msg i copy uiweke kule kwenye uzi wetu pendwa mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hii TAZARA yetu inaweza fanyiwa electrification?
Hivi hii TAZARA yetu inaweza fanyiwa electrification?
Huu hapa mkuu [emoji116][emoji851]Uzi upi huo The best 007
inawezekana! hata reli ya kati MGR!Hivi hii TAZARA yetu inaweza fanyiwa electrification?