Ndio unieleweshe sasa km hyo mizigo sai mtaibebea wapiWewe naye mgumu sana kuelewa. Ngoja nikuache ukae hivyo hivyo.
Wewe ni mbishi kiasi kwamba sometimes hujui hata unabishania nini yaani unabishana tu ili mradi.Ndio unieleweshe sasa km hyo mizigo sai mtaibebea wapi
Nimekwisha kueleza mizigo itafikaje bandarini ila naona kama hauko kwenye nafasi ya kuelewa. Ngoja mradi uanze kufanya kazi ili tuje tukuletee picha. Labda ndiyo utaelewa.Ndio unieleweshe sasa km hyo mizigo sai mtaibebea wapi
Sasa iende PAX station for what? Zile container zinazotoka Mombasa huenda Nairobi Terminus sio? Wacha utaahira!Kwhyo unamaana hichi kipande kw sasa hakina uwezo wa kubeba mizigo kisa bado kipande cha kuelekea badarini hakipo
Ana utindio wa ubongo!Nimekwisha kueleza mizigo itafikaje bandarini ila naona kama hauko kwenye nafasi ya kuelewa. Ngoja mradi uanze kufanya kazi ili tuje tukuletee picha. Labda ndiyo utaelewa.
Sasa si uniambie zitapitia wapi, manake waturuki kw plan yao sijaona..Sasa iende PAX station for what? Zile container zinazotoka Mombasa huenda Nairobi Terminus sio? Wacha utaahira!
Empty containers on the way back to Mombasa! being loaded at ICD Nairobi... 👇
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] zinapiga ruti kama mtoto wa kinda anapoanzishwa school kwa 1st time anapewa na kabeg kabisa lakini ndani ukifungua unakutana na vitu empty ,,,,,siku nzima watacheza kwenye bembea na kuimbishwa nyimbo...Empty containers on the way back to Mombasa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] zinapiga ruti kama mtoto wa kinda anapoanzishwa school kwa 1st time anapewa na kabeg kabisa lakini ndani ukifungua unakutana na vitu empty ,,,,,siku nzima watacheza kwenye bembea na kuimbishwa nyimbo...
Ugueni pole pole tu, kwanza kizere geza[emoji23][emoji23]Empty containers on the way back to Mombasa!
Wametetemeshwa na ujio wa mchina kwahiyo wanajiuliza mara mbili mbili tukitoa hii c tutaonekana bado tunacheza! Hebu tusubiri kdg, nahisi kwa ss hawalali usiku na mchana kazi mana wakilemaa tu mchina atawachoresha.Yepi hawajatoa report ya mwezi Dec hadi leo
Haha maana kutoka dar hadi pugu yani ndio bado kabisaWametetemeshwa na ujio wa mchina kwahiyo wanajiuliza mara mbili mbili tukitoa hii c tutaonekana bado tunacheza! Hebu tusubiri kdg, nahisi kwa ss hawalali usiku na mchana kazi mana wakilemaa tu mchina atawachoresha.
So ili waende sawa na mchina wafanye kazi pasipo kulala lasivyo mchina ataanza kumaliza kabla yao japo wao wameanza kitambo, wachina wachawi mzee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
tulia uoelewe,,,wacha kudanga ,,,,,Ugueni pole pole tu, kwanza kizere geza[emoji23][emoji23]