Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Ndio nyinyi ni net exporter wa grains ila kumbuka bado mnaagiza wheat from Russia. Ni sharti mfunge hii mashine kwa sababu ya kupakua wheat from Russia.
msahine ipo Kurasini!
 
Wacha ufala wenye usenge kama kawa !!
FYI ulichoonyesha kinaitwa gondola wagon!
Nionyeshe ni wapi mumeagiza wagons kama hizo. Haijalishi zinaitwa vipi. Nionyeshe ni wapi mumeziagiza halafu mjadala uishe.
 
Nionyeshe ni wapi mumeagiza wagons kama hizo. Haijalishi zinaitwa vipi. Nionyeshe ni wapi mumeziagiza halafu mjadala uishe.
Tumechoka kila lei kuwaletea hizo evidence. Tender document ilikuwa very clear kuhusu idadi ya kila aina ya equipment. Sasa tunawaacha mkae hivyo hivyo tu msubiri vyombo vifike bandari ya salama.

By the way, your gvt cannot procure such equipment at the tune of TZS 138bn using "your own money". So just relax and get yourself ready for the music. We are just getting started.
 
Wewe una wazimu kama unadhani kwamba unaweza kucompare grain handling facility inayopakua ndani ya truck na ile inayopakua ndani ya train. Nenda kapimwe ubongo wako utakuwa nati moja imepotea.
Umeona specifications lakini? Since 2015 this Bakhresa grain handling facility is operational, Mo has his own too!!

BTW the issue here is the loading i see Bakhresa having 4 loading ramps while Mombasa has 2!

 
Hivi bado mnaamini mnajenga kwa pesa zenu? 🤣 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…