The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
If you reply again like this I won't reply you [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni za Konyagi.
Start at 9:18Halafu kuna line itaingia Ilala depot for cargo destined to Dar and not overseas! unajua hawa mafala wanadhani electrical SGR yetu design yake ni ya kizembe kama diesel SGR yao!
Mzee Wa kupenda kujisadikisha SGR Kenya ni bora kuliko electrical SGR Tanzania hebu sikiliza hapo! Nina uhakika wiki ijayo utaleta utopolo tena!Start at 9:18
Ndani ya bandari kutakuwa na njia SABA za RELI
cc: Geza Ulole The best 007 and Tony254 xng hua, Bantugbro
- Reli ya SGR
- Reli ya Metre-gauge
- Reli ya Cape gauge (TAZARA)
Watanzania wacheni hii tabia ya kujilinganisha na Kenya kila wakati. Kenya imewashinda kwa mbali sana.Start at 9:18
Ndani ya bandari kutakuwa na njia SABA za RELI
cc: Geza Ulole The best 007 and Tony254 xng hua, Bantugbro
- Reli ya SGR
- Reli ya Metre-gauge
- Reli ya Cape gauge (TAZARA)
Ufala huachi kila siku! Mkurugenzi kaongelea line 7 za SGR bandarini! Ila kale kakitu kanakuchokonoa ! Kutoka dk 9.18 umeambiwa vitu kama key side of a berth!Watanzania wacheni hii tabia ya kujilinganisha na Kenya kila wakati. Kenya imewashinda kwa mbali sana.
Saa hii Kenya tuna-load cargo ex-hook. Yaani maana ya loading of cargo ex-hook ni kwamba tunapakua mizigo directly from meli hadi kwenye treni bila mizigo hiyo kuwekwa chini kwenye container terminal. Yaani ex-hook ina maana kwamba container hiyo haitakanyaga ardhi ya Kenya hadi itakapofika Nairobi kwa sababu meli ikiwasili Mombasa, container hiyo itapakuliwa straight onto the train bila container hiyo kugusa ardhi ya Mombasa.
Soma hapa maneno ya mkurugenzi mkuu wa Kenya Railway
“The recently introduced two double-deck trains, each conveying 152 TEUs per move, has continued to up the game on containerized cargo, enabling clearance on the old backlogs and maintaining desired loading of units ex hook, directly from discharging vessels,”Manga said
Fuata link hapa 👇
The Star
The Star brings you breaking news, developing stories, politics, entertainment, lifestyle, sports and much more from Kenya and around the world, throughout the day.www.the-star.co.ke
Halafu huyo jamaa kwenye video yako kasema kwamba container zenu zinapowasili bandarini yaani kwanza lazima zipakuliwe kwenye bandari (key site) halafu terminal tractors zinatumika kuzisafirisha hadi kwenye container yard. Halafu ndio reach stackers zitatumika kuzipakia container kwenye treni. Yaani ni process ndefu sana. Hio ni kumaanisha reli yenu ipo mbali na bandari maana maana container lazima zisafirishwe hata na terminal tractors ili kufikia maeneo ambapo reli ipo. Kenya kutafanya ex-hook loading of containers, reli ya SGR imejengwa bandarini kwenyewe kwenye gati lenyewe. Kwa hivyo sisi hatuna haja ya kutumia terminal tractors kusafirisha mizigo from the key site to the container terminal kama nyinyi. Sisi reli yetu ipo karibu na meli so crane inainua container from the ship straight to the train bila kuiweka chini. Tazama picha jinsi SGR yetu ipo karibu sana na meli hata unaweza kuitazama meli yenye rangi ya samawati kwenye background na treni kwenye foreground ya picha, zote zipo katika picha moja.
View attachment 1729860View attachment 1729862
SGR rail tracks zimejengwa katika gati ili kuwezesha treni zetu kuingia kwenye gati kubeba mizigo. Picha hii hapa chini ni ya 2017 wakati ujenzi wa SGR bado ulikuwa unajengwa. Unaone reli la SGR limetandazwa kwenye gati lenyewe? Sasa niletee picha kama hii ya Dar port.
View attachment 1729876
Lakini yenu treni haliwezi kuingia kwenye gati maana hamjajenga SGR rail tracks katika gati zenu inabidi mtumie terminal tractors kusafirisha containers zenu. Mpo very inefficient.
Watanzania wacheni hii tabia ya kujilinganisha na Kenya kila wakati. Kenya imewashinda kwa mbali sana.
Saa hii Kenya tuna-load cargo ex-hook. Yaani maana ya loading of cargo ex-hook ni kwamba tunapakua mizigo directly from meli hadi kwenye treni bila mizigo hiyo kuwekwa chini kwenye container terminal. Yaani ex-hook ina maana kwamba container hiyo haitakanyaga ardhi ya Kenya hadi itakapofika Nairobi kwa sababu meli ikiwasili Mombasa, container hiyo itapakuliwa straight onto the train bila container hiyo kugusa ardhi ya Mombasa.
Soma hapa maneno ya mkurugenzi mkuu wa Kenya Railway
“The recently introduced two double-deck trains, each conveying 152 TEUs per move, has continued to up the game on containerized cargo, enabling clearance on the old backlogs and maintaining desired loading of units ex hook, directly from discharging vessels,”Manga said
Fuata link hapa 👇
The Star
The Star brings you breaking news, developing stories, politics, entertainment, lifestyle, sports and much more from Kenya and around the world, throughout the day.www.the-star.co.ke
Halafu huyo jamaa kwenye video yako kasema kwamba container zenu zinapowasili bandarini yaani kwanza lazima zipakuliwe kwenye gati halafu terminal tractors zinatumika kuzisafirisha hadi kwenye container yard. Halafu ndio reach stackers zitatumika kuzipakia container kwenye treni. Yaani ni process ndefu sana. Hio ni kumaanisha reli yenu ipo mbali na bandari maana maana container lazima zisafirishwe hata na terminal tractors ili kufikia maeneo ambapo reli ipo. Kenya kutafanya ex-hook loading of containers, reli ya SGR imejengwa bandarini kwenyewe kwenye gati lenyewe. Kwa hivyo sisi hatuna haja ya kutumia terminal tractors kusafirisha mizigo from the key site to the container terminal kama nyinyi. Sisi reli yetu ipo karibu na meli so crane inainua container from the ship straight to the train bila kuiweka chini. Tazama picha jinsi SGR yetu ipo karibu sana na meli hata unaweza kuitazama meli yenye rangi ya samawati kwenye background na treni kwenye foreground ya picha, zote zipo katika picha moja.
View attachment 1729860View attachment 1729862
SGR rail tracks zimejengwa katika gati ili kuwezesha treni zetu kuingia kwenye gati kubeba mizigo. Picha hii hapa chini ni ya 2017 wakati ujenzi wa SGR bado ulikuwa unajengwa. Unaone reli la SGR limetandazwa kwenye gati lenyewe? Sasa niletee picha kama hii ya Dar port.
View attachment 1729876
Lakini yenu treni haliwezi kuingia kwenye gati maana hamjajenga SGR rail tracks katika gati zenu inabidi mtumie terminal tractors kusafirisha containers zenu. Mpo very inefficient.
Hii picha ni ya 2017 kabla ya ujenzi wa SGR kukamilika. Wakati huo bado tulikuwa tunastack containers kwenye gati kama nyinyi mnavyofanya na mtaendelea kufanya milele. Baada ya ujenzi kukamilika na double-stack trains kuanza kufanya kazi back-log hio iliondolewa.Hizi containers hapa yuma zinafanya nn? Kama containershazikanyagi ardhi?
Nimemsikiliza vizuri sana. Anasema container zitashushwa kwenye key side kisha mtatumia terminal tractors 🚜🚜 kupeleka containers kwenye container yard kisha mtatumia reach stackers kuzipakia kwenye treni. Kumaanisha laini za reli zipo mbali na gati. Kama unapinga basi nionyeshe picha kama hii ya Dar port halafu mjadala uisheUfala huachi kila siku! Mkurugenzi kaongelea line 7 za SGR bandarini! Ila kale kakitu kanakuchokonoa ! Kutoka dk 9.18 umeambiwa vitu kama key side of a berth!
Zile containers pale nyuma zimebebwa na mgngo? BTW what's a key side of a berth? If i may ask?Nimemsikiliza vizuri sana. Anasema container zitashushwa kwenye key side kisha mtatumia terminal tractors 🚜🚜 kupeleka containers kwenye container yard kisha mtatumia reach stackers kuzipakia kwenye treni. Kumaanisha laini za reli zipo mbali na gati. Kama unapinga basi nionyeshe picha kama hii ya Dar port halafu mjadala uishe
View attachment 1729891
Nimemsikiliza vizuri sana. Anasema container zitashushwa kwenye key side kisha mtatumia terminal tractors 🚜🚜 kupeleka containers kwenye container yard kisha mtatumia reach stackers kuzipakia kwenye treni. Kumaanisha laini za reli zipo mbali na gati. Kama unapinga basi nionyeshe picha kama hii ya Dar port halafu mjadala uishe
View attachment 1729891
at least yetu inakufa mwanzilishaji akiwa kafa yenu jamaa yupo Ikulu na kitu kimekufa! Aisee mko lazy sana!Tanzania SGR imekufa na Magufuli. It'll never end
Hio picha ni ya 2017 wacha kujitia hamnazo. Hizo containers sasa hivi hazipo.Zile containers pale nyuma zimebebwa na mgngo? BTW what's a key side of a berth? If i may ask?
show me where is keyside?
Ufala huachi kila siku! Mkurugenzi kaongelea line 7 za SGR bandarini! Ila kale kakitu kanakuchokonoa ! Kutoka dk 9.18 umeambiwa vitu kama key side of a berth!
At least u did a research to find out its Quayside and not keyside! Now where is Quayside?Hio picha ni ya 2017 wacha kujitia hamnazo. Hizo containers sasa hivi hazipo.
Halafu swali lako la "key side". Mimi niliandika key side maana wewe ndio ulianza kuandika key side so nikakucopy ila hakuna kitu kama key side kwenye terminology za port. Tazama hapa wewe ndio ulianza kuandika key side sasa sikuwa nataka kukuchanganya nikaamua kutumia words zako mwenyewe.
Waziri wenu aliposema key side alimaanisha Quay side ambayo ni sawa na gati au wharf. Quay inakuwa pronounced kama "ki"
Geza mimi sio engineer. Najua unataka kunitrap lakini sitakubali.At least u did a research to find out its Quayside and not keyside! Now where is Quayside?
Tatizo lako unakuwa excited na achievement ndogo! Ni kitu cha kawaida containers kuwekwa quayside na nina uhakika containers zenye destination Mombasa city, Kwale na every other places at the coast hazipandi kwenye train! Pia ili ziwe sorted according to destinations mostly likely those containers that drop first in line with the proximity r usually connected at the back of the train!Geza mimi sio engineer. Najua unataka kunitrap lakini sitakubali.