nyangau mkenya
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,056
- 1,296
eti walikua wanaziita chuma chakavu?
a game changer for mombasa port
Lidhika ndio nini,[emoji16][emoji16][emoji16]ni treni bro,hatuna maneno na reli wala vituo.
sisi huwa sio wanafiki kama nyinyi,labda nikuulize wewe,hilo treni mmelidhika nalo kabisaa!!!???
Lidhika ndio nini,
kata iyo ulimi yako na useme ridhika.
Hamna ujenzi unaendelea huko. Vyuma vilikaza kitambo sana.Mbona picha za SGR ya Tanzania sizioni?
duh,mkuu hilo swali ni la uzushi unafaa upimwe mikojoπMbona picha za SGR ya Tanzania sizioni?
Vijana wapo msituni wakitokezea mtapiga vigelegele,kwa sasa potelezea kwanza wapige mzigoMwanzilishi wa uzi Geza Ulole njoo na picha za renders.
Kenya ranked as 'failed state'Mwanzilishi wa uzi Geza Ulole njoo na picha za renders.
duh,this is Nairobi lcdπ±Nairobi ICD looking busy as ever
One would be forced to think this is a sea port.πππNairobi ICD looking busy as ever
Waah,Viva KenyaNairobi ICD looking busy as ever
hapa warogi wanaumia kweli