Kabisa[emoji1787][emoji1787]Kwamba hakuna pakujeuzia au sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unateseka ukiwa wapi[emoji1787][emoji1787]Uyo ndo alivyo huyo huwa anakurupuka tu ukimkamata anazuga, sasa eti anazuga kwamba kuna msamiati unaitwa "kujeuza" kwamba hyo kujeuzia alimaanisha parking, wallahi nimecheka kdg nianguke [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya hebu nioneshe EMU inayojeuza nitoe ushamba [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kabisa[emoji1787][emoji1787]
We unafikiria ukiambiwa swala la treni kujeuza basi eti linapiga turn km roundabout..
We kweli mshamba aisee
Leo hutoki nakwambia natembea na wewe ng'adu ng'adu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unateseka ukiwa wapi[emoji1787][emoji1787]
Kw akili zako treni za kenya zinajeuza km vile gari sio..
Maskini, km kiswahili kwako tabu sema
Acha EMU hta steam train hazina sehemu ya kujeuza...Haya hebu nioneshe EMU inayojeuza nitoe ushamba [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kujeuzia ni sawa na ku geuka sio[emoji1787][emoji1787]Haya hebu nioneshe EMU inayojeuza nitoe ushamba [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ile siku utapata EMU inajeuza njoo tuongee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]The best 007 niletee maana ya kujeuzia kutoka kwa kamusi km wewe unajua unajua kiswahili kweli[emoji1787][emoji1787]
Jamaa wana force tuongee km wao..
Ile siku utapata neno hilo ni kisawe linamaana sawa na "geuka" nakulipa
Kwn treni za MGR zinajeuza[emoji1787][emoji1787]Ile siku utapata EMU inajeuza njoo tuongee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii EMU sasa itabeba watu wangapi? Inaweza kuwa itabeba watu wachache sana. Mwenye data aweke.
kujeuza kwa Kikunya kunamaanisha nini?Kujeuzia ni sawa na ku geuka sio[emoji1787][emoji1787]
Twende mswahili
Umeshindwa kujibu sio.polekujeuza kwa Kikunya kunamaanisha nini?
Hiyo ni passenger terminal haihitaji yard. Yard iko kwenye terminal ya mizigoHehehe!!yard iko wapi..yani jamaa mumejengewa kiboya boya walai
Train zinapaki ilala hapo inakuja kupakia tuu na kuondoka hii ni modern SGR tena ya umeme na ni eco friendlyHahahahahaaa kageuza swali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Treni zetu control inaanzia Pugu station hapo mjini inakuja ya passengers tuu na line nyingine ina branch kwenda port zinakutana ilala goodshed area ambapo kutakuwa na parking ya passengers trains.Kwhyo hapo ndio patatumika ku control flow ya treni zenu sio[emoji1787][emoji1787]
Au tank la maji ya kupoza engine [emoji23][emoji23][emoji23]next time utaulizwa tank la mafuta! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji3516] [emoji2369]
Hujamsikia mkurugenzi wa TRC akisema inaweza kubeba mpaka 1500pax kutokana na mahitajiHii EMU sasa itabeba watu wangapi? Inaweza kuwa itabeba watu wachache sana. Mwenye data aweke.
Hizo ndio modern station layout kwa electrical SGR ambayo ni eco friendly wewe baki na chinese experience yako ambayo haina tofauti sana 3rd world technologyNaona leo umekasirika sana kw kuwaonyesha watu km nyie hapo dar station mumejengewa kituko
Stations zenu ni mbovu. Kubali tu yaishe.Hizo ndio modern station layout kwa electrical SGR ambayo ni eco friendly wewe baki na chinese experience yako ambayo haina tofauti sana 3rd world technology