Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Tunawakimbiza kuanzia baharini mpaka nchi kavu, biashara zote tunaziteka, wao wakale walipopeleka mboga, tunataka ifike mahali tuwe tunakopesha vinchi maskini kama Kenya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani locomotive za MGR ya TZ zimezidi zile za SGR ya Kenya hata kuanzia kwenye ubora, uzuri na hata kwenye top speed🙂

Kazi ipo kwelikweli...
 
Ngoja niwaite [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kafrican MK254 komora096 Nicxie Mashashola Simba 254 Yule msee Teargas Kachengcheng mwaswast Magix Enga Don YF Coco reborn NairobiWalker


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji90][emoji205][emoji117][emoji1139][emoji3545][emoji117][emoji1241][emoji91][emoji91]
 
Wakenya mpk ss hawajaelewa kwnn tunajenga the modern and classic SGR with European Standard while tunakarabati reli ya kati kwa viwango vya juu kabisa, nikwamba tumejipanga kuchukua fursa zote ukanda huu, hatutoacha hata moja kuanzia baharini mpaka nchi kavu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkale mlipopeleka mboga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huwa nafurahi sana wakunya wakipata tabu sijui nikoje mkulungwa mimi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji1139][emoji117][emoji3545][emoji2781][emoji706][emoji117][emoji1241][emoji117][emoji91][emoji91]
 
Sasa mnaposusa mnasusia nani kwa mfano [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa wakuu tukubaliane, tunazika au tunasafirisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…