Walisemaa mwezii huuu unaanzaa majaribioo kimyaaaaNaona wameamua kupiga kazi ata video zimekua chache ya mwezi wa pili kipande cha pili pia haija toka
Great stuff,Electric SGR Makutupora-Tabora loading...
Mi nimependa zaidi huo utitiri wa makampuni hapo chini! Naona other stakeholders wako tayari kushirikiana na TRC kwenye kufanya uendeshaji wake uwe profitable in the near future! Total nao wakaribishwe...Great stuff,
This is the longest electrified SGR in Africa coupled with the longest heated crude oil pipeline in the world....
Kind of stuffs only the giants can do
Tanzania ni nchi tofauti sana katika bara hili la Afrika na dunia hii ya Mungu kwa ujumla wake.Lean Forward my Beautiful! Never hesitate to love you!.
Hehee mm nasoma wadhamini tu hapo chini ni balaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Electric SGR Makutupora-Tabora loading...
Huyu Sarafina ni nani? Amekaa mmarekani mweusi.
Hata mie nimeshindwa kupata jibu, labda msanii mpya!Huyu Sarafina ni nani? Amekaa mmarekani mweusi.
Nasikia ni msanii mpya wa kizazi kipya 🙂Huyu Sarafina ni nani? Amekaa mmarekani mweusi.