Hawa jamaa km kuchelewa wacha wachelewe watupe kitu cha kisasa na chakudumu ...[emoji7][emoji7][emoji7]
Typo! Dah siamini nimechapia hivyo nimeandika hila ya sinister motives badala ya ila ya connector!Geza sio "Hila"ni "Ila" kwani na wewe ni kizazi kipya?!
Nakuamini mzee mwenzangu!😂Typo! Dah siamini nimechapia hivyo nimeandika hila ya sinister motives badala ya ila ya connector!
Halafu kuna mtu mshamba atakuambia tumeshindwa kumaliza Dar Moro wakati kipande pekee kinachojengwa hivi sasa ni line ya kuingia port tuu ambayo ilicheleweshwa na compensation ya nyumba na viwanja vya watu.
Update: electrical SGR Tanzania
MY TAKE
Hivi ni kwa nn huyu Professor anachapia namna hii? Kwenye reli anasema treni, kwenye treni anasema reli?
Means baadae hii Reli itatokea Rwanda kwenda Uganda ?
sijui mzee, nadhani kuna walakini!Means baadae hii Reli itatokea Rwanda kwenda Uganda ?
Uzuri Kagame mwenyewe hajawahi kuomba wamuamini.Ni kiherehere Chao tu.
MY TAKE
nadhani tunaweza kuona kwann Tshisekedi ameungana na Burundi na si Rwanda kwenye SGR. Kagame haaminiki!