The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Hata wa Dar vs Nrb utakimbiwa soon!Wakenya walishaachana na huu uzi maskini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I like the choice of words
Wewe nyang'au wivu wako hautakusaidia.This project is failed hata before ianze operations. Yani ilifaa ianze kazi 2019 but in 2023 but hamjua kama itaanza next year ama 2040.
Wewe ni wa kupuuzwa yani reli ianze kujengwa Dar Mwanza Kigoma kilomita 2500 ilamilike ndani ya mwaka utakuwa hujui unachoongea kumbuka hi ni SGR ya umeme sio kutandika reli tuu bali kuna miundombinu mingine ya umeme kama hujui.This project is failed hata before ianze operations. Yani ilifaa ianze kazi 2019 but in 2023 but hamjua kama itaanza next year ama 2040.
This is not mtungi wa chang'aa Buda,tuliza komwe.This project is failed hata before ianze operations. Yani ilifaa ianze kazi 2019 but in 2023 but hamjua kama itaanza next year ama 2040.
Dar is Slum to Morogoro a distance of 200km mmeshindwa kumaliza after 6yrs😂😂🤣Wewe ni wa kupuuzwa yani reli ianze kujengwa Dar Mwanza Kigoma kilomita 2500 ilamilike ndani ya mwaka utakuwa hujui unachoongea kumbuka hi ni SGR ya umeme sio kutandika reli tuu bali kuna miundombinu mingine ya umeme kama hujui.
Porojo kama kawaida yao
Wewe nyang'au Teargas mbona leo umekimbia?Dar is Slum to Morogoro a distance of 200km mmeshindwa kumaliza after 6yrs😂😂🤣
Nyie mbona Mombasa -Malaba mmeshindwa kumaliza mwaka wa 10 huu?Dar is Slum to Morogoro a distance of 200km mmeshindwa kumaliza after 6yrs[emoji23][emoji23][emoji1787]
Ujenzi hauendelei, nyinyi mnajenga lakini mnajenga hewa😂😂🤣Nyie mbona Mombasa -Malaba mmeshindwa kumaliza mwaka wa 10 huu?
Jumatatu ijayo polisi wameshatayarisha Teargas ya kutosha. Wanakungoja😂🤣🤣Ujenzi hauendelei, nyinyi mnajenga lakini mnajenga hewa😂😂🤣