Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Wahuni si watu wazuri bana.. wanaanza sabotage mapema sana kabla mambo hayajafika mbali.. sema nini wabongo hatunaga noma kwa kua hatujaanza kupigwa leo
Hebu weka chanzo chako tujisomee wenyewe sio kutulisha matango pori hapa🤣
 
Hebu weka chanzo chako tujisomee wenyewe sio kutulisha matango pori hapa🤣
Juzi naona waziri wa uchukuzi yuko makutupora-Tabora kawahi mapema sana kutuhadaa kwamba mkandarasi yuko site..! Ujenzi uko nyuma asilimia 10..
 
Juzi naona waziri wa uchukuzi yuko makutupora-Tabora kawahi mapema sana kutuhadaa kwamba mkandarasi yuko site..! Ujenzi uko nyuma asilimia 10..
Acha kupiga blah blah. Weka chanzo chako cha habari tujisomee wenyewe; mbona unajifanya husikii?😁
 
Nimeshakuona kumbe wewe ni mtu bogas. Huna lolote lile; umekalia umbea tu😂
Unataka ushahidi gan sasa, wakati waziri mwenyewe kwenye taarifa ya habar ITV anasema ujenzi wa lot 3 uko nyuma kwa asilimia 10 baada ya kusikia minong’ono mkandarasi ameishiwa fedha baada wahuni kuchukua chao mapema😆… Najua umekaa huku uko kazin kama wengine unasubir mgao wako
 
Oh waziri sijui mgao sijui nini; umebaki kuzunguka zunguka tu. Huna hata moja la maana😁
 
Ila hili nililiona na kulipinga pale walipopewa tender bila bidding kuna watu walinipinga humu ndani!



 
Mkuu hivi hizi lot 1 na 2 ambazo zipo mwishoni Yapi walikua na Kampuni gan nyingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…